Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,352
Lizzy,
Kwa sisi ambao tumeshatoka na wake za watu naomba tusichangie maana tunaweza kuwa revealed!
Pasaka Njema
baba E tunaomba mchango wako juu ya hilo, ilikuwaje?
Lizzy,
Kwa sisi ambao tumeshatoka na wake za watu naomba tusichangie maana tunaweza kuwa revealed!
Pasaka Njema
Lizzy,
Kwa sisi ambao tumeshatoka na wake za watu naomba tusichangie maana tunaweza kuwa revealed!
Pasaka Njema
AD is there any place nilosema kuwa yeye kutoka kwake kunasaidia ndoa anayoicheat?? nimetumia neno COWARD yaani mtu asiye na ujasiri wa kuamua lililo sahihi kwake i.e. kama hampendi aliye naye amuache no matter the consequences!
Hahaha nauli ya utawa i can afford..ya kua singo tu i can afford..ya mchumba wa milele i can afford ila ya kitanzi nadhani mwisho wa siku naweza kuishia jela!Bora nikae pembeni!HAhahahahahahahahah, poooole sana Lizzy,
Umeongea na hao watawa wakakueleza changamoto zao? There is no free lunch...Popote utakapoamua kwenda lazima utalipa nauli tu.. Tofauti ni amount utakayolipa!
Lizzy,
Kwa sisi ambao tumeshatoka na wake za watu naomba tusichangie maana tunaweza kuwa revealed!
Pasaka Njema
BE....Kweli wewe ni real!! Laiti wengi wetu tunagekuwa tunayasema yale yanatoa picha halisi za jinsi tulivyo na tunavyotena. Akina Lizzy na AD wangekuwa na amani.
DC
Hivi inakuaje mwanamke anaondoka nyumbani kwake anamuaga mume wake ambae ni mzuri as in hamnyanyasi na anajitahidi siku zote kumfanyia mke yaliyo mema..alafu anaenda kukutana na kimada wake ambae nae ni mume wa mtu ambae nae mke wake anajitahidi kumfanyia yaliyo mema?Yani wote wanavunja ahadi zao kwanza kwa kutoka nje ya ndoa zao alafu wanafikia kutamani mpaka kutembea na mume/mke wa mwingine!Watu hawa ambao kuna watu wanawaangalia kama 'rolemodels' kwenye maswala ya maisha tuwachukulieje?
Hivi inakuaje mwanamke anaondoka nyumbani kwake anamuaga mume wake ambae ni mzuri as in hamnyanyasi na anajitahidi siku zote kumfanyia mke yaliyo mema..alafu anaenda kukutana na kimada wake ambae nae ni mume wa mtu ambae nae mke wake anajitahidi kumfanyia yaliyo mema?Yani wote wanavunja ahadi zao kwanza kwa kutoka nje ya ndoa zao alafu wanafikia kutamani mpaka kutembea na mume/mke wa mwingine!Watu hawa ambao kuna watu wanawaangalia kama 'rolemodels' kwenye maswala ya maisha tuwachukulieje?
Hahaha nauli ya utawa i can afford..ya kua singo tu i can afford..ya mchumba wa milele i can afford ila ya kitanzi nadhani mwisho wa siku naweza kuishia jela!Bora nikae pembeni!
Hivi inakuaje mwanamke anaondoka nyumbani kwake anamuaga mume wake ambae ni mzuri as in hamnyanyasi na anajitahidi siku zote kumfanyia mke yaliyo mema..alafu anaenda kukutana na kimada wake ambae nae ni mume wa mtu ambae nae mke wake anajitahidi kumfanyia yaliyo mema?Yani wote wanavunja ahadi zao kwanza kwa kutoka nje ya ndoa zao alafu wanafikia kutamani mpaka kutembea na mume/mke wa mwingine!Watu hawa ambao kuna watu wanawaangalia kama 'rolemodels' kwenye maswala ya maisha tuwachukulieje?
dahhh
kwa kweli tuajiwekea Mentality mbaya sana kichwani..
very soon kutakuwa hakuna tofauti ya kuwa na ndoa au kuwa Single..
na maana halisi ya ndoa haitakuwepo..
BE....Kweli wewe ni real!! Laiti wengi wetu tunagekuwa tunayasema yale yanatoa picha halisi za jinsi tulivyo na tunavyotena. Akina Lizzy na AD wangekuwa na amani.
DC
Ngoja nibaki kwenye bus nililomo kwa sasa..nikiona umuhimu wa kubadili kituo au usafiri hapo baadae mahesabu ntapiga wakati huo huo!Until then...let me enjoy what i have instead of mourning for what i don't!Mhhh Lizzy,
Ni vizuri kama unaweza kutambua ipi itakuwa nafuu kati hizo nauli. Hata hivyo mzigo wa hiyo nauli ni cumulative...Sina hakika kama unaweza kuulewa vizuri (with certainty) sasa. Hata hivyo kwa level uliyofikia si mbaya!