JambaziSugu
JF-Expert Member
- Mar 28, 2012
- 245
- 203
Kiukweli nowadays post za shule za A level ni vurugu. Ina maana gani mwanafunzi kujaza celform kuchagua shule then baada ya matokeo unapangiwa shule tofauti? Asilimia kubwa ya wanafunzi waliomaliza mtihani wa kidato cha 4 mwaka 2011 wanalalamika kupangiwa shule wasizozijua. Inaboa sana mtu unafaulu kwa ufaulu mzuri, unachagua shule alafu unapangwa shule isiyoeleweka. Shule za A-level zimekuwa nyingi to the extent zingine hazina hadhi ya kuitwa shule. Unapangiwa shule mpya ndo inaanza ninyi ndo mnakuwa form 5 wa kwanza inakuwaje?. Utakuta shule inaitwa cjui Nang'wanda, mwinyi, mahiwa. Aaaarg! Inaboa!!. Kingine Nisaidieni wadau process za kuhama shule. Nimechaguliwa shule mbovu, nataka nihame faster bila hata kuripoti. Nianzie wapi?