Msingi gani ya haki dog weweWapanga mpango wa kutoa tamko makusudi ili JPM aonekane mbaya huku wakijua fika kuwa Magufuli amepata tabu kuiweka Tanzania kwenye ramani ya haki na utawala bora kama ilivyokuwa enzi za Nyerere,
Wao ndo walio hujumu korosho, Sukari na kwe saruji pia kwa kushirikiana na wafanyabiashara wasiokuwa waaminifu.https://www.facebook.com/100034337745756/posts/157134872107770/
Kila mission lazima huwa inaacha alama nyuma ............!!kama ni wao kwanini mission kama hiyo watumie simu
Steven nyerere na mc Pilipili ndiyo walipigiana simu kisha wakateneza hayo mazungumzostudio gani wamerekodi hii............?
Musiba na Le mutuz jana usiku walikuwa wanapanga bajeti ya hiyo ligi na tayari wamepeleka bili yaoNaona wajinga wote wameamua kusimama na msiba.
Yani nimeisikiliza had nimeshika kichwa
KUMBE WAO NDIYO WALIOPORA KOROSHO ZA WAKULIMA BILA KULIPA?Wapanga mpango wa kutoa tamko makusudi ili JPM aonekane mbaya huku wakijua fika kuwa Magufuli amepata tabu kuiweka Tanzania kwenye ramani ya haki na utawala bora kama ilivyokuwa enzi za Nyerere,
Wao ndo walio hujumu korosho, Sukari na kwe saruji pia kwa kushirikiana na wafanyabiashara wasiokuwa waaminifu.https://www.facebook.com/100034337745756/posts/157134872107770/
Mkuu ni sahihi lakin katika hili tutajua mengi yaliyokuwa yamejifichakueni makini jamani wenyewe wamo humuhumu.
IMETENGENEZWAAAAA..............matusi yako ni uthibitisho toshasio unaongea tu kama mbwa anayebwekabweka thibitisha kwamba hii ya kutengenezwa au ya kiukweli
Kiufupi audio iko utube,sidhani kama ni halisi,lakini hata tukiassume ni halisi yale ni maongezi ya kawaida kabisa kati ya watu wawili na hakuna kitu cha ajabu,
kama hiyo audio ni ya kweli,yaweza kuwa wamevujisha wao wenyewe,ama ofisi walimokuwa wakiongelea iko bugged,ama simu zao ziko hacked,kwa maana kuwa simu zimekuwa remotely turned into a listening device kiasi kwamba ukiongea kitu na simu iko mezani inanasa maongezi na kutuma file kwa huyo mtu aliekuhack,
ni vyema kama unaongea maongezi ya faragha weka simu mbali au iweke ndani ya friji kwa ushauri wa snowden