isha
Member
- Dec 29, 2010
- 37
- 50
on grounds za our creator!
infact premarital sex nayenyewe ni wrong na ndio imeleta huu mkasa. the popularity of a certain practice nd ur parents being happy raising their grandchild doesnt take away the shamefulness of the situation.
if we as society we have come to glamourize and extol all that is morally wrong all in the name of freedom of choice. this is wrong. ifike wakati tuwe wakweli na tukemee mabaya even if its our relatives involved
So to you the greatest sins of all is "FORNICATION", right? Huwa nawashangaa sana watu kama nyie, mnasahau kwamba there are 10 commandments for us who are Christians, na zote zinatakiwa ziheshimiwe kwa kiwango kile kile, hamna dhambi kubwa kuliko nyingine, whether you lied or you killed or you lusted at someone's else's property they are all sins before the eyes of God and will be punished with the same degree of judgement so stop trying to imply kwamba for us who fornicate tunatenda dhambi kubwa kuliko nyie "watakatifu". Lemmi enlighten you a lil bit, unakumbuka yule mwanamke mzinifu aliyepelekwa kwa Yesu wakitaka amuhumu? What did Jesus tell them: "Let who has not sinned be the first one to cast a stone at her." Mbona hakuna aliyeyanyua jiwe kumpiga yule mwanamke. The same way, don't rush to judge others just because you feel you are justified to do so, we have all sinned and fallen short of God's grace, jifunze kuungama dhambi zako kila wakati na usihumu coz na ww utahumiwa.