Imeniuma sanaa!

Huyo mwanamme, kama ningekuwa mie, ningetimka asilani. Kama mwanamme anakubali kushiriki mapenzi bila kondomu, na hata kama alivaa kondomu ikapasuka, basi ajue anawajibika moja kwa moja. Asiyetaka mimba hafanyi mapenzi.

Na hii dhana ya kuwa mwanamke ndio ajikinge tu na mimba is for weak men, wanamme wa kweli wanawajibika na wao kuwakinga wenza wao wasipate ujauzito, inapotokea hutafuta suluhisho la pamoja. Hakuna mtoto abayezaliwa na jinsia moja, kwa hiyo hakuna jinsi ambavyo jinsia moja ione haiwajibiki au imechezewa trick, lame excuse.

Mwanamme anayeshindwa kuchukua wajibu wa mimba aliyoshiriki kuipata alizaliwa kimakosa, hiyo sperm ilipotea kabisa, bora ingeenda zalisha mhogo watu tukala kripsi tu, tena na pilipili ya unga.

Ennie loves this.
 
Last edited by a moderator:
Ama kweli kila mtu anakipimo chake cha kujua anapendwa, sasa kusema hataki mtoto wa nje ya ndoa ndiyo uone hakupendi? Huenda anakupenda ila wewe umeshindwa kuelewana nae tokea msingi wa kijamiiana kwenu.


"If you can't afford condoms, you won't afford children"
 
Wasichana wangeelewa hili, wasingeumizwa mioyo yao

Usithubutu kutoa mimba aisee, heri dhambi moja kuliko mbili, Muwe na reservation ya mapenzi, kufikiri kuwa mtu anakupenda kama unavyompenda wewe ni kujidanganya.
 
Mwanachuo mzima ushindwe lea katoto kamoja? Hivi wengine mmekulia wapi?
Naona ni mie tu nimekulia kwenye mikiki mikiki, huu umayai unatoka wapi?

Kwa hiyo unashawishika kutoa?

Sio kila chuo ni kama ulivyofikiria,penginee yupo VETA anasonea kusuka nywele
 
Mwanachuo mzima ushindwe lea katoto kamoja? Hivi wengine mmekulia wapi?
Naona ni mie tu nimekulia kwenye mikiki mikiki, huu umayai unatoka wapi?

Kwa hiyo unashawishika kutoa?

Sio kila chuo ni kama ulivyofikiria,penginee yupo VETA anasonea kusuka nywele
 
Tena Veta ni afadhali, mwaka mmoja tu anafungua saloon barazani kwao.


Unaona kusuka nywele ni kazi ya chini? Au isiyoweza msaidia mtu kulea familia. Basi kuna mama mmoja pale Mwenge, wale mama njoo tusuke. Ana watoto 3, na wanasoma, keshajenga nyumba yake na ana kiwanja ununio baharini(unajua ni sh ngapi akiamua kuuza sasa hivi? Hata kama alikinunua enzi za ujima). Wala hakusomea na kupata advantage ya kujua zaidi, ni ile kujifunza mtaani.

Kila kazi ukiifanya kwa ufanisi na kwa kujua ndio chanzo chako cha kipato, itakusaidia kuishi. Sio wote tutaishi maisha ya Baresa ama Mengi, kikubwa ni kuwa na 'a decent earning', bhasiii.

Sio kila chuo ni kama ulivyofikiria,penginee yupo VETA anasonea kusuka nywele
 
Wapendwa msinielewe vibaya nimetoa mtazamo wangu tu jinsi ninavyolichukulia jambo hilo, kama kwa wengine ni sawa then its ok, ila kwangu mimi sipendezwi. kokongosho, isha
 
hilo ndio zao la shamba lako, liache likue na ulitunze, huyo kakusaidia tu, we fanya yako, mtoto dili siku hizi, wanaume wapo, sasa wewe toa usipate tena, ndipo utakampokumbuka.
 
Sijakuelewa vibaya, mie nae nimetoa mtizamo wangu tu. Watu wote tuna jinsi tunavyochukulia mambo, na silaumu wako. Nilikuwa najaribu kuonesha tu kuwa, always kuna chance ya kurekebisha makosa yetu.


Hakuna jambo ambalo likikupata, kama sio kifo basi ukate tamaa kuwa huwezi ishi kwa furaha tena. Na kuzama katika kujilaumu na kujuta huwa si suluhu pia hasa kama huwezi ku undo.

Wapendwa msinielewe vibaya nimetoa mtazamo wangu tu jinsi ninavyolichukulia jambo hilo, kama kwa wengine ni sawa then its ok, ila kwangu mimi sipendezwi. kokongosho, isha
 
Tena hapo ndo pazuri kabla hajaanza kuchoka anaanza kupita mitaani na kutengeneza watu nywele..Watanzania tumekua maskini kwa kudfharau elimu ya sanaa na ufundi..tunategemea theories tunazofundishwa na kuzifungia kwenye makaratasi
Sio kila chuo ni kama ulivyofikiria,penginee yupo VETA anasonea kusuka nywele
 
hili ndio tatizo la jamii yetu...we dnt want to say the truth. kuzaa nje ya ndoa ni shameful thing and shuld be viewed that way. tumekuja ona kitu cha kawaida na ndio maana inaendelea kuwepo.

secondly huyo dada yako ni irresponsible....kuzaa azae yeye kulea walee grandparents....loh

Shameful on what grounds?! Watu kama nyinyi ndo huwa mnawakana ndugu zenu kisa wameenda kinyume na jamii, learn to embrace your mistakes and learn from them. In btw, my parents are very happy to have the opportunity to raise their grandchild because we are all grownup and away from home so having a young child running around the house gives them joy.
 
Habari wanaMMU,......

Nimekua nae kwenye mahusiano kwa muda wa miaka mitatu, nampenda na niliamini ananipenda pia.

Mwezi huu nimejigundua kuwa Nina ujauzito wake, niliopomwambia anadai nitoe kwa kisingizio kuwa mimi niko shule( niko chuo kikuu).

Nikamjibu sitaweza, akanambia sawa ila yeye hatakua anawajibika kwa chochote kwa kuwa hataki kuwa na mtoto aliyezaliwa nje ya ndoa
......naumia sana nikiwaza jinsi nilivyompenda na kumuamini, na sielewi ntalea vipi huyu mtoto bila ya baba yake

miaka mitatu!???......ujauzito wake!!???.......ni wewe Queen Kan nimjuaye umemwandikia mtu!???
 
Jipe moyo utamlea tu na atakua. Hata sisi tulio ndani ya ndoa not every husband is responsible na wanae. Kuna mara nyingi tu wanawake wanalea wenyewe
 
Back
Top Bottom