Tanzania ni hapo vichakani unapoishi!?Nilikua morogoro, wanakata asubuhi ya saa moja na kurudishwa saa 12 jioni. Wasipo kata mchana basi tegemea usiku kutakua Giza Toka saa moja hadi saa sita usiku. Hii ndo Tanzania ya CCM
Tanzania ni hapo vichakani unapoishi tu!?Nilikua morogoro, wanakata asubuhi ya saa moja na kurudishwa saa 12 jioni. Wasipo kata mchana basi tegemea usiku kutakua Giza Toka saa moja hadi saa sita usiku. Hii ndo Tanzania ya CCM
🤣🤣🤣🤣Wenzako tushazoea na wanajipanga TRA kufanya Kodi zao tutawapa maweNilikua morogoro, wanakata asubuhi ya saa moja na kurudishwa saa 12 jioni. Wasipo kata mchana basi tegemea usiku kutakua Giza Toka saa moja hadi saa sita usiku. Hii ndo Tanzania ya CCM
Kwani umeshajaribu kutafuta majenereta karibu na mtaa wako ukakosa😂😂🏃🏃Nilikua morogoro, wanakata asubuhi ya saa moja na kurudishwa saa 12 jioni. Wasipo kata mchana basi tegemea usiku kutakua Giza Toka saa moja hadi saa sita usiku. Hii ndo Tanzania ya CCM
Siyo kweli! Tanzania ni DSM!!Tanzania ni hapo vichakani unapoishi!?
Tanzania ni hapo vichakani unapoishi tu!?
Umeme upo,ukikosekana ni matengenezo tu,na huwa wanatoa taarifaHapa nilipo pia mda huu nipo gizani, na sio kichakani
Nimetoka kuwaaambia Sasa Hivi Watoto wanguUki ishi kwenye Laana, ilo si jambo la kushangaza sana.
Uafrika hasa utanzania ni laana.
Anachosema mleta mada ni kweli mikoa mingi kwa sasa umeme ukiwaka masaa 24 ni muujiza!Tanzania ni hapo vichakani unapoishi!?
🤣🤣🤣 nakubali bloodUki ishi kwenye Laana, ilo si jambo la kushangaza sana.
Uafrika hasa utanzania ni laana.
Unaishi Dar Dar sehemu gani mkuu?Umeme upo,ukikosekana ni matengenezo tu,na huwa wanatoa taarifa