kidunula1
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 6,299
- 6,321
Jamani sijui wenzangu mnaofatilia Bongo fleva mnaonaje hili!
Hivi ulishawahi kusikiliza vema nyimbo za Ally Kiba anazoimba sasa baada ya kutoa ule wimbo wa "Mwana" halafu ukajiuliza Diamond asingekuwepo huyu Kiba angekuwa kwenye level gani,hasa baada ya kusikiliza nyimbo za akina Ben Pol,Baraka, na Jux? Mimi naamini hao wote wangekuwa juu yake. Ally K alikuja juu baada ya kuibuka mwanzoni kisha akapotea na baadae bifu uchwara iliyotengenezwa na wachwara kati yake na Diamond ikamuweka vichwani na midomoni mwa wafuatilia Bongo fleva hadi sasa. Kwa maoni yangu naona Ally K ni kama Ray ma water alivyokuwa anatembelea nyota ya Kanumba!
Hivi ulishawahi kusikiliza vema nyimbo za Ally Kiba anazoimba sasa baada ya kutoa ule wimbo wa "Mwana" halafu ukajiuliza Diamond asingekuwepo huyu Kiba angekuwa kwenye level gani,hasa baada ya kusikiliza nyimbo za akina Ben Pol,Baraka, na Jux? Mimi naamini hao wote wangekuwa juu yake. Ally K alikuja juu baada ya kuibuka mwanzoni kisha akapotea na baadae bifu uchwara iliyotengenezwa na wachwara kati yake na Diamond ikamuweka vichwani na midomoni mwa wafuatilia Bongo fleva hadi sasa. Kwa maoni yangu naona Ally K ni kama Ray ma water alivyokuwa anatembelea nyota ya Kanumba!