Imagine ZITTO anahama CHADEMA

Status
Not open for further replies.
Aende zake ni bora cdm akabaki mtu mmoja tu mwenye nidhamu kuliko kuwa na utitiri wa wanafiki haya Zito kwaheri ya kuonana kajaribu bahati yako huko
 
Uvumilivu tu utamsaidia Zitto. Tulia CDM ujifunze mwenendo na subira. Lazima ubadilike otherwise kila uendako utahama kama Baba Kiraracha.
 
CDM ni taasisi imara kwa sasa! Kuondoka kwa Zitto ni sawa sawa na unyasi mmoja kudondoka kutoka kwenye nyumba!!
 
Aende popote ili akatumike na hapa ndo siasa inanoga ila CDM ipo mpaka 2015 ikulu
 
Bora asepe tu siku nyingi anatuharibia ndani ya CDM ila Mungu ni mwema arobaini yake imetimia muda muafaka
 
maumuzi yalifanyika ndani yakikao halali cha CHAMA nayaheshimiwe tunahitaji chama chenye kuchukua hatua sio chama porojo hongera kamati kuu
 
Vyama vinavyo simama kutokana na watu wenye majina makubwa kisiasa huwa havidumu..

Muhimu kuimarisha chama..

Zitto ni mwana CDM..
 
Uvumilivu tu utamsaidia Zitto. Tulia CDM ujifunze mwenendo na subira. Lazima ubadilike otherwise kila uendako utahama kama Baba Kiraracha.

acheni ushabiki ulaku wamadaraka wa mboe na mahawara zake ndio unaendelezwa hana elimu ya kabwe yeye akafungue baa na sketi za wtt wa kike tu
 
Zito bado mwanachama wa CDM achane kuweweseka.
Sijasema kahama chama... wanaomtaka ili wajinufaishe kupitia mgongo wake wanamtaka katika vyama vyao.. Ila ujue yeye kama Nape aliyeanzisha CCJ akiwa ndani ya CCM naye anajulikana kwa kuanzisha CHAUMA akiwa CHDADEMA.
 
acheni ushabiki ulaku wamadaraka wa mboe na mahawara zake ndio unaendelezwa hana elimu ya kabwe yeye akafungue baa na sketi za wtt wa kike tu

Did you give yourself time to read what you wrote before posting it? Shame on you? Ina maana huwezi kufikiri zaidi ya hapo? Mmh! Surely we have a long way to go to be liberated.
 
acheni ushabiki ulaku wamadaraka wa mboe na mahawara zake ndio unaendelezwa hana elimu ya kabwe yeye akafungue baa na sketi za wtt wa kike tu
Wewe unakuja kutukana.. Jibu hoja si matusi. Kajadili elimu kwenye jukwaa la elimu.... Mfuate!!!...
 
Baada ya kupata taarifa rasmi kuwa ZZK amevuliwa nafasi zote za uongozi ndani ya CHADEMA, Vyama vinne vinamsaka ili ajiunge navyo na kujiongezea nguvu..

1. CCM
CCM ina kiu ya kumpata ZITTO ili iweze kunyakua majimbo ya KIGOMA... Matumaini ya makada wa CCM ni kumpata Zitto na baadaye Kafulila (swahiba muhimu wa Zitto) kugeuza chuki ya wana Kigoma dhidi ya CCM... MMoja kati ya watu nilioongea naye ni mpinzani mkuu wa Jenista Mhagama - Peramiho - ndani ya CCM (ambaye ni msomi mwenye PHD)... kwa maoni yake Zitto hawezi kupata nafasi za juu ndani ya CCM kwa miaka 15 ijayo ila ni mtu muhimu katika kuirudisha CCM kigoma... "Nafasi ya urais ina watu wengi sana, hawezi kupata".... Ubunge nafasi iko wazi.

2. NCCR Mageuzi
Nimepata maoni ya wafuasi wachache wa NCCR Mageuzi - mmoja ni mfuasi wake aliyekuwa kiongozi wa CDM mkoa wa Mbeya na sasa amehamia Dar kikazi na zaidi ya yote ni mwanachama wa NCCR Mageuzi... Yeye anasema, "tulijua yatatokea haya, tuna matumaini makubwa sana ataungana nasi.... Akija NCCR Mageuzi, ukanda magharibi wote kuanzia Katavi hadi kagera, Mwanza na Shinyanga tunachukua"... Anaongeza kwa kusema, uenyekiti kwa sasa hawezi kupata, ila kugombea urais nafasi iko wazi.

3. CHAUMA
Chama hiki kinaongozwa na Hashim Rungwe (mtu wa Kigoma). Pia kuna taarifa kuwa kuanzishwa kwake kuna mkono wa Kafulila na Zitto Kabwe (wote kutoka mwisho wa Reli)... Chama hiki kinamatumaini makubwa ya kumpata ZITTO... ingawa wanakiri kuwa ni kazi ngumu kukikuza chama hiki kwa muda mfupi uliobaki. "Nafasi yoyote akitaka tunampa"
...

4. CUF
Chama hiki kina mtaka kwa udi na uvumba.. mmoja wa viongozi niliyeongea naye leo - Buguruni.. ameniambia kuwa wanatarajia kupeleka ujumbe rasmi kuonana naye ndani ya wiki hii...... Tukimpata tunaweza kujiimarisha zaidi.

tunamtakia kila la kheri!
 
Baada ya kupata taarifa rasmi kuwa ZZK amevuliwa nafasi zote za uongozi ndani ya CHADEMA, Vyama vinne vinamsaka ili ajiunge navyo na kujiongezea nguvu..

1. CCM
CCM ina kiu ya kumpata ZITTO ili iweze kunyakua majimbo ya KIGOMA... Matumaini ya makada wa CCM ni kumpata Zitto na baadaye Kafulila (swahiba muhimu wa Zitto) kugeuza chuki ya wana Kigoma dhidi ya CCM... MMoja kati ya watu nilioongea naye ni mpinzani mkuu wa Jenista Mhagama - Peramiho - ndani ya CCM (ambaye ni msomi mwenye PHD)... kwa maoni yake Zitto hawezi kupata nafasi za juu ndani ya CCM kwa miaka 15 ijayo ila ni mtu muhimu katika kuirudisha CCM kigoma... "Nafasi ya urais ina watu wengi sana, hawezi kupata".... Ubunge nafasi iko wazi.

2. NCCR Mageuzi
Nimepata maoni ya wafuasi wachache wa NCCR Mageuzi - mmoja ni mfuasi wake aliyekuwa kiongozi wa CDM mkoa wa Mbeya na sasa amehamia Dar kikazi na zaidi ya yote ni mwanachama wa NCCR Mageuzi... Yeye anasema, "tulijua yatatokea haya, tuna matumaini makubwa sana ataungana nasi.... Akija NCCR Mageuzi, ukanda magharibi wote kuanzia Katavi hadi kagera, Mwanza na Shinyanga tunachukua"... Anaongeza kwa kusema, uenyekiti kwa sasa hawezi kupata, ila kugombea urais nafasi iko wazi.

3. CHAUMA
Chama hiki kinaongozwa na Hashim Rungwe (mtu wa Kigoma). Pia kuna taarifa kuwa kuanzishwa kwake kuna mkono wa Kafulila na Zitto Kabwe (wote kutoka mwisho wa Reli)... Chama hiki kinamatumaini makubwa ya kumpata ZITTO... ingawa wanakiri kuwa ni kazi ngumu kukikuza chama hiki kwa muda mfupi uliobaki. "Nafasi yoyote akitaka tunampa"
...

4. CUF
Chama hiki kina mtaka kwa udi na uvumba.. mmoja wa viongozi niliyeongea naye leo - Buguruni.. ameniambia kuwa wanatarajia kupeleka ujumbe rasmi kuonana naye ndani ya wiki hii...... Tukimpata tunaweza kujiimarisha zaidi.
kumbe zzzzk ni kibaraka kipandikizi cha wasira
 
Cdm nyinyi bado. Jifunzeni kwa raila siasa ya kitaifa. Amekosa uongozi anashiriki kuijenga kenya kwa kila linalolisibu taifa lake. Shangwe na huzuni. Mtasema juisi imewadhuru
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom