Mkuu I do understand, kuna topic kibao zinamhusu Zitto, ukiangalia zinaunganishwa kwenye topic moja mama. Hata hiii baadae itaunganishwa huko huko, na nimeileta hii pekee ili kuonesha utofauti kidogo tu, kuwa yawezekana wakadai watu kuwa yuko financed nao lakini sidhani kama ni kweli, tujadili vitu tukiwa na facts kwenye meza.Barua yenyewe mbona haisomeki vizuri...iko too light...
Halafu JF inaanza kuwa obsession na Zitto maana kila siku lazima kuwe na thread mpya inayomhusu Zitto. It's getting old...
Mkuu I do understand, kuna topic kibao zinamhusu Zitto, ukiangalia zinaunganishwa kwenye topic moja mama. Hata hiii baadae itaunganishwa huko huko, na nimeileta hii pekee ili kuonesha utofauti kidogo tu, kuwa yawezekana wakadai watu kuwa yuko financed nao lakini sidhani kama ni kweli, tujadili vitu tukiwa na facts kwenye meza.
Issues za magazeti ili yauze tuwaachie, ni suala la biashara!
Basi mkuu nakala niliyokuwekea nadhani hata wewe imekufungua macho na umejua anasomea nini haswa!si ilitangazwa kuwa anafanya Doctorate na sio hiyo Masters hapo Bucerius?
kwani zito ndio hawezi kuiama chadema, hivi bila yeye hakuna chadema, tusidanganyane na yeye pia ni binadamu na pia mawazo huwa yanabadilika wakati mwingine, mwacheni afanye anavyotaka bana, nakuunga mkono zito, chadema kuna ubaguzi na upendeleo
si ilitangazwa kuwa anafanya Doctorate na sio hiyo Masters hapo Bucerius?
Kama ulivyosikia Mkuu Epigenetics,Kabla ya kusoma degree ya Uzamivu(PhD),Zitto Kabwe ni chuo gani alisomea degree yake ya Uzamili(Masters)?
Au na yeye kama Adam Malima MB-Mkuranga;ambaye baada ya kumaliza form 4 alikwenda moja kwa moja kuchukua masters yake!Nasisitiza tena,badala ya kuhitimu form 4 na wala sio form 6 aMalima likwenda kuchukua Masters yake"saafi kabisa"kwenye nchi ya kikomunist!
why too much of zitto kabwe? whatt is in between?Sasa imekuwa kila jumatano au jumapili lazima mashambulizi kwa Mheshimiwa Zitto Kabwe.
katika makosa ambayo Zitto ameyafanya ni kujitoa kugombea uenyekiti kwani BIFU hili Mbowe bado analo na sasa anatumia gazeti lake kummaliza Zitto Kabwe.
http://www.freemedia.co.tz/daima/habari.php?id=11208
Sasa imekuwa kila jumatano au jumapili lazima mashambulizi kwa Mheshimiwa Zitto Kabwe.
katika makosa ambayo Zitto ameyafanya ni kujitoa kugombea uenyekiti kwani BIFU hili Mbowe bado analo na sasa anatumia gazeti lake kummaliza Zitto Kabwe.
http://www.freemedia.co.tz/daima/habari.php?id=11208
Zitto Ahame Chadema, Yes inawezekana lakini iwapo anahama ni kwa maslahi ya nani? Chadema itabaki kuwa Chadema, itatetereka kidogo lakini baadaye wataibuka kina Zitto wengine, pengine zaidi who knows. Mbona Kabouru alihama na sasa yuko wapi, je Chadema imeyumba kutokana na kutokuwapo kwa Kabouru?
Inawezekana pia kinachompa umaarufu mtu ni chama chake mwenyewe kutokana na uhuru anaopewa ndani ya chama. Naamini hakuna empty space. ukitoka mwingine anaijaza ingawa wakati mwingine kwa style tofaouti.
Tumechoka na story za Zitto na kuhama kwake, who is Zitto by the way. mnampandisha chati tu dogo wa watu ajione yupo matawi, mnamdanganya. walikuwepo kina Mrema enzi za NCCR ya ukweli, DR Kabour na chadema ya 1990's kule Kigoma harafu nyie mnaongelea kasisimizi ndani ya Chadema kwamba kanataka kukimbia, wapi na wapi JF.
kwanza kukuweka sawa ni kuwa zitto kesha sema hahami (kwa mdomo wake sio magazeti)nimeuliza kuhusu mchango wa zitto katika mustakabali wa tafa letu. Hakuna aliweza kunijibu. Nilitaka nielimishwe mambo matatu ambayo zitto ameyafanya ambayo yatatufanya sisi wananchi tumkumbuke katika utumishi wake kama mwanasiasa na mbunge.
Haya ya kuhama au kutohama chadema sioni ni jinsi gani yanaweza kutuletea maendeleo sisi na kuboresha uwajibikaji wa serikali yetu.
naomba nirudie tena, who is zitto kabwe na nini machango wake katika taifa au amelifanyia nini taifa letu?
naomba kuelimishwa!