RADIKALI
Member
- Aug 27, 2009
- 35
- 0
kwani alibatizwa chadema mtu anaweza kuhama wakati wowote ule , kama anaona hakuna utendeaji wa haki ,akae tu hapo? Kwanza anaweza kuachana na mambo ya siasa akaenda zake kuajiriwa kazi nzuri tu na akaishi vizuri.
kama anataka kujimaliza ahame!