The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,080
Keren siku nikiwa na kitambi sijui itakuwaje l.o.lTF...I can imagine hicho kitambi......hhahahaha
Keren siku nikiwa na kitambi sijui itakuwaje l.o.lTF...I can imagine hicho kitambi......hhahahaha
Aisee WL nani alihalalisha Keren kwa Kimey wakati nimeishampa warning Kerenumeanza maangaiko?achana na keren ni wa kimey
yani hapa naanza kuimagine hivi fainest yukoje vile???????
Dear aliyekwambia utoe siri za ndani kwetu ni nani?Maria ni mama wa watoto 2 kibonge fulani hivi wajua figa za kiafrica :wink2::wink2:
we tuko ukoje??
Dear aliyekwambia utoe siri za ndani kwetu ni nani?
PJ kachakachua CV yangu dear,mic ya too kipipimoyo.Honey nimeona PJ amekuchakachua ndo maana :becky::becky:
Mic ya my love
Hivi WL ukoje tena? L.o.lhahaha,endeleeni tu na mimi nimepitia mahali kusalimia lol!
Mimi huwa namuimagine michell kama bongeee, lizzy mwembembaaa, hashycool, klorokwin na uporoto huwa nawaimagine miili yao midogo tofauti na maneno yao. Haswa klorokwin ndio nakaimagine kaduchuuu.
TF huwa nahisi ni mbaba haswa.
Firstlady na wiselady huwa nahisi ni wanene warefu wa wastani.
LD na Dena huwa nahisi ni weupe.
Lady N na gaga nahisi weusi.
Dah, wengine ngoja nisitaje ninavyowaimagine.
Mimi je?
Hus si mrefu au mfupi ana mwili wa wastani,maji ya kundeMimi huwa namuimagine michell kama bongeee, lizzy mwembembaaa, hashycool, klorokwin na uporoto huwa nawaimagine miili yao midogo tofauti na maneno yao. Haswa klorokwin ndio nakaimagine kaduchuuu.
TF huwa nahisi ni mbaba haswa.
Firstlady na wiselady huwa nahisi ni wanene warefu wa wastani.
LD na Dena huwa nahisi ni weupe.
Lady N na gaga nahisi weusi.
Dah, wengine ngoja nisitaje ninavyowaimagine.
Mimi je?
Mie huwa nahisi wewe ni mdada mwembamba wa wastani mcheshi una moyo wa kujitolea
Hus si mrefu au mfupi ana mwili wa wastani,maji ya kunde
Madela Wa- Madilu je?
Mimi huwa namuimagine michell kama bongeee, lizzy mwembembaaa, hashycool, klorokwin na uporoto huwa nawaimagine miili yao midogo tofauti na maneno yao. Haswa klorokwin ndio nakaimagine kaduchuuu.
TF huwa nahisi ni mbaba haswa.
Firstlady na wiselady huwa nahisi ni wanene warefu wa wastani.
LD na Dena huwa nahisi ni weupe.
Lady N na gaga nahisi weusi.
Dah, wengine ngoja nisitaje ninavyowaimagine.
Mimi je?
nahisi wewe ni mrefuu halafu una mwili mnene kiasi ila huna kitambi.
hahaha!we hus mbona hujamalizia nafananaje?ukimaliza ntakwambia vile ulivyo!
Umepatia kaa 85%.
Nina kitambi ambacho mara zote kinaniletea ugomvi na mke wangu.
Fikiria nilikuwa mcheza kabumbu matata Beki 4 mpaka nilipokuwa na umri wa 21, kaa 23 years a go.
Inabidi nijitahidi kufit kwenye hiyo Imagination ili siku ya kutoa picha zetu halisi ikifika nisije kuwa kaa Captain Komba.