Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,320
Jf ina memba wengi lakini wapo baadhi ambao kutokana na nature ya michango yao wametokea kuwa masupastaa. Fikiria watu kama M.Mkjj, Asprin, Finest, Maria Roza na wengine. Hivi kwenye maind yako ulishawah kuimajin hawa supastaa wakoje? Kwa mfano mi ninavyomuimajin Lizzy: kuwa ni mdada mrefu hivi, ana kaufiga, mweupe, anavaa miwani myeus na anapenda kuvaa suruali za kubana. Alaf namuimajin Rose1980 kama mdada flan hv mwongeaji sana na mbish, alaf atakuwa mrembo fulan mwenye figa ya ki-modo. Yani kuna wakati nikikatiza town namuona mtu alaf maind yangu inajiconvince namuona FirstLady1. Hata ivo I wish nisiwaone hawa watu isije wakawa tofauti sana na ninavyowaimajin... lol.