WiseLady
JF-Expert Member
- Jan 22, 2010
- 3,269
- 531
aah! Nikimalizia nitaharibu uhondo. Features mbili zinatosha.... Haya ngoja niendelee,
nahisi una mashavu manene na macho ya duara. Pia nahisi unapenda kula kula lakini hizi bites bites sema unene wako sijui wa asili. Ha ha ha! Lol.
hahaha!dah!sitii neno,,lol! husn ana mwili wa wastani,height ya wastani,maji ya kunde.