beibe nasty
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 1,640
- 523
guys wazima siku mingi sijatinga hapa ila sio ishu saaana ila jaman hebu tumsaidie huyu binti is one of my frend amempenda mkaka bila kuonana zaidi ya picha tu.
Wamekua wakitumia mkaka kwao mambo ya kishua kidizain, mdada kawaida tuu na she is moderate tu na wanawasiliana kwa miezi sita sasa na ni wapenzi siku moja mvulana akamwambia mwenzie kuwa anaogopa wat if akija na mara wasiwe wanaendana itakuaje?
Sasa yule binti anampenda mshikaj na alikuwa afikiri chochote bt since yule kijana amwambie hivo yan kakosa imani nae, pia hayupo comfortable kama zamani.
Sasa afanye nini huyu binti jamani? She is in love n is about a month ataenda onana na kijana, so ushauri wako ni muhimu sana.
Wamekua wakitumia mkaka kwao mambo ya kishua kidizain, mdada kawaida tuu na she is moderate tu na wanawasiliana kwa miezi sita sasa na ni wapenzi siku moja mvulana akamwambia mwenzie kuwa anaogopa wat if akija na mara wasiwe wanaendana itakuaje?
Sasa yule binti anampenda mshikaj na alikuwa afikiri chochote bt since yule kijana amwambie hivo yan kakosa imani nae, pia hayupo comfortable kama zamani.
Sasa afanye nini huyu binti jamani? She is in love n is about a month ataenda onana na kijana, so ushauri wako ni muhimu sana.