Ilikuwa ni njama au?

Jamani ndiyo kubadilika kwa fasihi huko..hamkusoma shuleni fasihi simulizi hubadilika jamani>????
 
Kiparata....... Asili ya neno hili inaonekana baba alikuwa amebanwa na tumbo la kuhara, na baba huyu alimwambia mtoto wake kuwa sisi wakubwa hatuarishagi.
Basi siku ya siku mtoto akasikia prata tata kiparata kutoka chooni, mtoto akamuuliza baba yake, baba unafanya nini huko, mbona nasikia kitu kinalia kiparata? Baba akajibu mwanangu nimepoteza kiparata changu ndio nakiita nione kama kitaitika, mtoto akauliza kiparata ndio nini? Dingi akajibu kadi ya mpiga kura
nimecheka hadi machozi we bujibuji umepinda.
 
Ni watu wangapi wanatumia Western Union hadi iwe ni kwamba huenda kulikuwa na kitu?
 
Taifa-kwanza!

Kwanini viparata tu? Au mnadai nakala za vitambulisho vingine Kama vitambulisho vya kazi, leseni za udereva na pasi za kusafiria?

Sijatumia kiparata kwa muda mrefu, ngoja safari hii nitaenda nacho nione kama wataniomba nakala!
 
Ni watu wangapi wanatumia Western Union hadi iwe ni kwamba huenda kulikuwa na kitu?
<br />
<br />

Sijui, ila kumbuka kuna watu walishindwa kupiga kura kwasababu majina yao hayakuonekana; hufikiri kuwa namba zao zilitumika kupigia kura watu wengine?

Nilichoona kiko tofauti ni kwamba vitambulisho vingine hawadai nakala!
 
Kwanini umechelewa kulisema hili, ulitakiwa kutoa taarifa mapema kabla ya uchaguzi wa Mwaka jana ili hatua stahiki zijukuliwe. Any way yawezekana ilikuwa ni njama ya kuchakachua matokeo.
<br />
<br />

Sijui ni nini kilinifumba, ila leo nimekumbuka! Hata na mimi nina wasiwasi huenda walikuwa wanatafuta kadi za baadhi ya wanachama wa vyama vya upinzani ili majina yao yasionekane kwenye orodha!
 
Back
Top Bottom