hivi hao makamanda huko Ilemela hawana kazi za kufanya? Hakika nimeamini kweli wafuasi wengi wa chadema ni misukule
Nadhani wameahidiwa Siku CDM ikiingia ikulu watakuwa wanalipwa mishahara bila kazihivi hao makamanda huko Ilemela hawana kazi za kufanya? Hakika nimeamini kweli wafuasi wengi wa chadema ni misukule
hivi hao makamanda huko Ilemela hawana kazi za kufanya? Hakika nimeamini kweli wafuasi wengi wa chadema ni misukule
nadhani wameahidiwa siku cdm ikiingia ikulu watakuwa wanalipwa mishahara bila kazi
Kwani sikio la Kufa linasikia dawa? Kwani Mabina alivuna matunda gani?
Huwa najisikia amani sana watu wa Mwanza wanaposimama na chama chao, kama wanavyofanya Watanzania wa maeneo mengine nchi nzima. Very proud.
Gharama ya kumbeba huyo bwana iko mikononi mwa CCM. Watailipa kwa kilio kikubwa cha kusaga meno watakapoona Kanda ya Ziwa yote inaungana dhidi ya udhalimu huu ulio wazi na mwingine wa namna hii.
watanzania wana akili sana. Hawachagui vyama vinavyopenda maandamano na ghasia
Raia wana haki ya kusikilizwa kwa mujibu wa katiba yetu, polisi wametimza wajibu wao kwa mujibu wa sheria kuwasikiliza wafuasi wa Chadema, cha kushanganza mleta mada anakuja na siasa zake za makengeza eti nguvu ya umma imeshinda polisi wangetumia nguvu kuwatawanya wafuasi wa Chadema mgeanza kulalamika kuwa polisi wametumia nguvu nyingi kuwatawanya raia.
gongo itakuwa ni ruksa mpaka ikuluulijuaje mkuu! Mimi ndio nitakuwa waziri wa noti.
Nadhani wameahidiwa Siku CDM ikiingia ikulu watakuwa wanalipwa mishahara bila kazi
Raia wana haki ya kusikilizwa kwa mujibu wa katiba yetu, polisi wametimza wajibu wao kwa mujibu wa sheria kuwasikiliza wafuasi wa Chadema, cha kushanganza mleta mada anakuja na siasa zake za makengeza eti nguvu ya umma imeshinda polisi wangetumia nguvu kuwatawanya wafuasi wa Chadema mgeanza kulalamika kuwa polisi wametumia nguvu nyingi kuwatawanya raia.
Kila dalili zinaashiria CDM 2015 itashinda kwa hiyo makamanda mjipange kwani kuongoza nchi si lelemama!
Ruzuku mmeshindwa kutumia vizuri mpaka mnatimuana,humuwezi kutuambia kitu cha maana hapo!Inawezekana kwa utajiri tulio nao ukitumiwa vizuri wakalipwa kwani nchi za wenzetu Ulaya mbona wanalipwa. Ni uongozi bora na utumiaji vizuri wa utajiri tulio nao kila kitu kinawezekana
Chadema ni Janga la kitaifa kwa amani ya nchi yetu.