nyabhingi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 15,515
- 20,005
Nilipomuona dr ndodi anatangaza ofa ya kutibiwa bure kwa wote watakaoenda kupata tiba kwake kwa kulipia kiingilio tu cha sh.50,000/= nilijipa moyo kuwa tatizo langu la aleji litakuwa limepata ufumbuzi kutokana na sifa aliyokuwa nayo huyu bwana ndodi
Nilienda pale m/chai na kulipia hiyo 50,000 na kukutana na ndodi na alipa dawa na kuniambia kuwa nitatibiwa kwa wiki 15,.dawa za wiki ya kwanza zilivyoisha na kwenda kuchukua nyingine ndipo niliposhangazwa na madad wanaohudumia pale waliponitaka kutoa 50,000/= na kusisitiza kuwa kila wiki ninayokwenda pale ni lazima nilipie kiingilio cha 50,000 mpaka dozi ya wiki 15 iishe,..nilichoka na kugeuza zangu home,..ila frankly speaking kwa wiki moja niliyotumia dawa nilipata nafuu ya ajabu,..nashindwa kuendelea sababu ya ukata.
USHAURI:
NDODI UWE UNATOA MATANGAZO YA MOJA KWA MOJA KULIKO KUTOA OFA ZA KULAGHAI WATU,..50,000/= imeliwa na dozi sijapata kamili,..iam sure iam not alone sababu kwa wale waliosikia na kumuona kwenye tv akitoa hiyo ofa watakubaliana nami alihaidi kutibu wagonjwa wote kwa 50,000 mpaka wanapona kabisa....loliondo ni 500,ila kwenda na kurudi gharama yake ni zaidi ya 500,000 mpaka unapata tiba...so disappointed
Nilienda pale m/chai na kulipia hiyo 50,000 na kukutana na ndodi na alipa dawa na kuniambia kuwa nitatibiwa kwa wiki 15,.dawa za wiki ya kwanza zilivyoisha na kwenda kuchukua nyingine ndipo niliposhangazwa na madad wanaohudumia pale waliponitaka kutoa 50,000/= na kusisitiza kuwa kila wiki ninayokwenda pale ni lazima nilipie kiingilio cha 50,000 mpaka dozi ya wiki 15 iishe,..nilichoka na kugeuza zangu home,..ila frankly speaking kwa wiki moja niliyotumia dawa nilipata nafuu ya ajabu,..nashindwa kuendelea sababu ya ukata.
USHAURI:
NDODI UWE UNATOA MATANGAZO YA MOJA KWA MOJA KULIKO KUTOA OFA ZA KULAGHAI WATU,..50,000/= imeliwa na dozi sijapata kamili,..iam sure iam not alone sababu kwa wale waliosikia na kumuona kwenye tv akitoa hiyo ofa watakubaliana nami alihaidi kutibu wagonjwa wote kwa 50,000 mpaka wanapona kabisa....loliondo ni 500,ila kwenda na kurudi gharama yake ni zaidi ya 500,000 mpaka unapata tiba...so disappointed