Ulimpata wapi huyo ndugu😂😂nisikatize mitaa hiyo 😂Hivi inakuwaje mpenzi wako anakupa hela tena 10k na anakudai? As if ulimwambia akuazime?
Na maneno juu ya karaha kweli tukue tuyaone. Nyie mtutunze tu msipate makasiriko.
yaan nimecheka hadi baas.Mmeokotana wapi kwanza?tiktok?
Jiandae 😀😀😀😀😀😀😂😂😂vita ni vita muraaaUlimpata wapi huyo ndugu😂😂nisikatize mitaa hiyo 😂
Doh umenikumbusha nami nilikopa ela sehemu ila sijadaiwa Bado🤣🤣🤣🤣nisipofungwa mwak huu sijui
🤣🤣🤣Sijali Wala nnJiandae 😀😀😀😀😀😀😂😂😂vita ni vita muraaa