Ila hii issue ya uhaba na bei ya Sukari inawachora kweli kweli!

Lyambalyetu

JF-Expert Member
Apr 6, 2021
265
240
Sijui hawaoni - kila siku ninaulizia maduka niliyoyazoea ninaambiwa haijaja. Nikienda maduka ambayo sijayazoea bei bado ipo juu. Nimekuwa wa kununua nusu kilo au kilo moja kwa matumaini labda kesho itapatikana ya kutosha na bei itashuka lakini kesho inakuwa kesho na tena na tena.
 
Sijui hawaoni - kila siku ninaulizia maduka niliyoyazoea ninaambiwa haijaja. Nikienda maduka ambayo sijayazoea bei bado ipo juu. Nimekuwa wa kununua nusu kilo au kilo moja kwa matumaini labda kesho itapatikana ya kutosha na bei itashuka lakini kesho inakuwa kesho na tena na tena.
Wauza sukari ndiyo wajumbe wa mkutano mkuu wa CCM taifa hakuna la maana litafanyika
 
Uhaba na kupanda kwa bei ya sukari kunasabbishwa na vita vya Israel na Palestine. Pia msisahau hata vita vya Russia na Ukraine haijaisha.
 
Sijui hawaoni - kila siku ninaulizia maduka niliyoyazoea ninaambiwa haijaja. Nikienda maduka ambayo sijayazoea bei bado ipo juu. Nimekuwa wa kununua nusu kilo au kilo moja kwa matumaini labda kesho itapatikana ya kutosha na bei itashuka lakini kesho inakuwa kesho na tena na tena.
Mkuu hadi supermarket kubwa hazina sukari, wanasema sukari sasa imekuwa kama biashara ya magendo...... hiki ni kituko cha karne.
 
Back
Top Bottom