Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 118,236
- 219,434
Hii ndio Taarifa mpya kwa Usiku huu, kwamba huko Mkoani Singida kwenye Wilaya Maarufu ya Ikungi , hivi tunavyoandika hapa ni kwamba mamia ya wananchi tayari wamejitafutia nafasi kwenye eneo litakalofanyika Mkutano wa hadhara wa Chadema, ambapo viongozi mbalimbali wa Chadema, akiwemo Freeman Mbowe na Tundu Lissu watahutubia .
Malengo ya wananchi hawa kufanya mkesha huo ni kuwahi nafasi ili wasikose kusikia Spana za kesho .
Mungu ibariki Chadema.
Malengo ya wananchi hawa kufanya mkesha huo ni kuwahi nafasi ili wasikose kusikia Spana za kesho .
Mungu ibariki Chadema.