Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,312
- 105,648
Mbona pia inaonekana ikulu inaisemea familia ya HSC kwani wanasema gazeti lina nia ya kuchafua jina la kampuni.je ikulu imejiridhisha vipi kwa muda mfupi namna hii wa leoleo.je wamewahoji saa ngapi wakazi wa eneo husika waliosema wanavyonyanyaswa ?
Pia kurugenzi ya ikulu itasema nini kama DIRA watakuja na ushahidi wa Tape wa matamshio ya yule secretary wa HSC kuhusu kauli za bosi wake akiwaonya wasimfuatefuate kwani watapata matatizo na pia kwa nini mtoto wea rais alikataa kwa muda wa wiki nzima kuongea na DIRA kuihusu hili?. Lazima kuna jambo zitop hapa na kwa mtindo huu Tatizo la nchi hii si mawaziri bali ni Tabia ya Rais wetu.
Ujue hiyo habari ya Ikulu kuisemea HSC ndiyo inaonyesha kuna kitu hapa.
Inakuwaje Ikulu ikurupuke tu, kwanza kujibu suala leoleo, pili kuitetea HSC?
Hapo utaona Ikulu inatuma message kimafia "shughuli za wakubwa hizi, msiwasumbue hawa".