Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Mchanga utatoka au hautoki!!!?
Kwani lengo la kuuzuia lilikuwa ni lipi wewe idiot?
Mchanga utatoka au hautoki!!!?
Acha ushamba bado hawajakubaliana kitu bali kuna mapendekezo ya kufanya mikutano wajadiliane ndipo uje mwafaka.Ni jambo la kiungwana kwa mtu yoyote anapokosea kuomba msamaha.
Tundu Lisu umewakosea sana watanzania kwa kutetea mafisadi wa madini yetu.
Baada ya mmiliki wa Acacia kuja kufanya mazungumzo na rais na kukubali kulipa hela, ni bora sasa Lisu ukajitokeza na kuwaomba watanzania na kuahidi hutarudia tena.
upo weweHawajatajwa bado mnalalamika, subirini hao watakao hojiwa kama watawataja ndio muulize kitakachofata.
Nimependa alivyowajibu wadaku.
Hahhahaaa,episode 2,sasa si wangemuita mapeeema,tumecheza filamu weeee
Sasa unafikiri mtaenda mahakamani kabla ya kutafuta suluhu nje ya mahakama?Sasa si Lisu alisema tutashtakiwa?
Tundu anatafuta ajira.Sasa si Lisu alisema tutashtakiwa?
Tungeshitakiwa ndiyo isingekuwa propaganda? Maana jamaa wamedhalilishwa na ripoti zote mbili na makontena yao yamezuiliwa bandarini na walidai wanapoteza mamilioni ya pesa kutokana na kushikiliwa kwake, unafikiri ni kwa nini wameona wayamalize kwa mazungumzo badala ya kutushtaki kama vile wakili msoni kuliko wote Tanzania na Rais wa TLS alivyosema kuwa kesi haitamaliza hata nusu saa serikali yetu itakuwa chali?mchezo wa makinikia ni propaganda tupu, na ripoti za wataalamu za makinikia ni rubbish tupu
Mwizi wa kuku anafungwa mwizi wa matrilioni tunafanya naye mazungumznly in Tanzania.Nyie mliokubali mazungumzo na watu mlosema ni wezi mtajinyea
Sasa si Lisu alisema tutashtakiwa?
Ha ha hapo kama kawaida yako umekabwa na kitu kooni, chuki, hasira...pole. endelea kuanzia nyuzi.Sasa unafikiri mtaenda mahakamani kabla ya kutafuta suluhu nje ya mahakama?
Mi nasubiri kuona kama tutalipwa hayo matrilioni.