Iselamagazi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,922
- 6,009
Mkuu asante kutujuza kwa habari picha.
Mkuu wasi wasi wangu ni turn up ya wana Igunga kwenda kupiga kura tarehe 2 Oct.!
Tumeona mambo haya ya umati mkubwa wa watu kufurika sana ktk kampeini nyingi hata ktk uchaguzi mkuu iliopita (2010).
To make matters worse kuna huyu mdudu "kuchakachua" kwa huyu "Mchakachuaji "wetu wa siku zote.
Lets wait ans see.
Mkuu wasi wasi wangu ni turn up ya wana Igunga kwenda kupiga kura tarehe 2 Oct.!
Tumeona mambo haya ya umati mkubwa wa watu kufurika sana ktk kampeini nyingi hata ktk uchaguzi mkuu iliopita (2010).
To make matters worse kuna huyu mdudu "kuchakachua" kwa huyu "Mchakachuaji "wetu wa siku zote.
Lets wait ans see.