kwa jna la yusu wameshaanza kulegea haoTuombe tu Amani itawale mpaka siku ya uchaguzi na hata wakati wa kutangaza matokeo. Nina wasi wasi kwamba hizi picha zitawachochea wale jamaa waanze kuzungusha vifaru huko Igunga. Kama walianza kuonyesha Bastola kule mwanzo kabisa sasa watapanda kwenye majukwaa na Maroketi. Washindwe na Walegee!
Kuna hotuba Zito aliitoa katika kukaribishwa kwake siku alipokwenda Igunga ilikuwa ni ya ukweli sana unaweza kuona nini wana Igunga wanatakiwa kufanya siku ya traehe 02 October, 2011. Bofya Zitto afunika Igunga - YouTubeMola awatangulie wana Igunga wafanye maamuzi sahihi!!!
Mkuu msiache kuwapa salamu zetu sisi tulio ulimwengu wa nje ya Igunga. Waambieni umuhimu wao ni kama mtu aliyepewa fedha iliyobaki ndani kwenda kununua dawa za mgonjwa mahututi. Hakuna anayetegemea mtu huyo kuacha kununua dawa na kupigia ugimbi pesa hizo maana anahatarisha uhai wa mgonjwa. Nao Igunga wasiwaangushe WaTZleo tumefanya mikutano sita kwenye kata sita na chopa,pamoja na chopa tumeendelea na mikutano ya ndani,kimsingi tunashambulia kote kote
Wengi wamejitokeza kuishangaa helikopta. Majority ni watoto wa shule na watoto wadogo. Bila shaka karibu wote hawapo kwenye daftari la wapiga kura.
Ni mshangao tu kwa kwenda mbele halafu siku ya uchaguzi unabaki mshangao wa idadi ya kura.
.leo tumefanya mikutano sita kwenye kata sita na chopa,pamoja na chopa tumeendelea na mikutano ya ndani,kimsingi tunashambulia kote kote