Ridomil gold
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 2,777
- 2,202
Yye mwenyewe ni mchafu unafikili atawakamata wachafu wenzake? Hawezi na hatowezaRushwa na Polisi ni jambo la kawaida sana hasa Trafik wapo tayari kwa lolote mradi wachukue Rushwa. Juzi nilikamatwa pale Salenda na Trafik mmoja mwanamama kala mkorogo wa haja, nikaongea nae vizuri sana gari halikuwa na tatizo kbs lakini cha ajabu akalazimisha kosa. IGP Wambura ni lazima atengeneze mfumo wa kukamata hawa Trafik wala rushwa. Kimara stopova ukipita tu taa wapo mtu unajiuliza wanafanya nini? Hawa wa hapa Ova ni walarushwa hatari.