IGP Sirro, nakutaarifu Dar na Arusha si salama kwa safari za usiku

Mimi nasafiri ucku safari zangu zote,nimekutana nao mara moja hpo ruvu chini njia ya msata
Mkuu mm kuna siku nimetoka mwanza harusini nimebeba kinamama tu kwenye gari wanasinzia na kujamba pilau ya harusi njia nzima (**hawana msaada wowote**). Tumelala moro tukaamsha saa 9 tumepita njia ya msata kufika darajani pale saa 10 jamaa walinirushia mawe sikusimama kmamae
 
sehemu amabzo nilikua naziogopa ni njia mbovu ya kutoka iringa kwenye mbeya ile njia wanaweza kuwekea mawe ukijifanya mjanja unaenda darajani...........
kitonga pale
kona za
 
Kipande cha Mombo kuitafuta Hedaru to Makanya kuna wapuuzi wanatembea na Noah..hao wakikupita tu jua washafanya yao..wenye semi vichanja wanalia sana..labda muongozane kama wanne na kuendelea tena mjipange haswa..asante sana mleta mada Kwa kuliona hili.
 
ndio maana huwa sikubali mtu anipite.... nashukur safari ndefu gari ni kubwa kunipita inahitaji uwe na moyo wa chui maana kuna uwezekano injini zetu sawa ila hauna uwezo wa kujitoa labda V10 hapo na dereva mzoefu
 
Nilikoma kusafiri usiku pàle arushà tulipowàkuta waliotekwa wamesimama barabarani wakiwa uchi kabisà huku wakiomba msaada. Kwanza tulidhàn ni kundi la waçhawi, wanawake wanene wakiwa hawana nguo wanatisha sana
Mkuu tuseme wewe uliowaona wanawake wanene tu?sasa hukuwapa msaada?
 
Hapo Mombo-Hedaru hasahasa katikati ya vijiji vya makuyuni,mazinde na mabirion way up to Hedaru mthee kuna matukio mazito hayafai kusimulia,binafsi nimeshuhudia tukio day one naenda Shamba mara paap watu kama wane hivi wamening'inizwa juu ya m'buyu washanyongwa muudaaa,hyo ni alfajir saa12 na habar kama hizi zina-die off ki-kileji zaidi hyo haifiki popote wahuni washatambaa mapema sana.


Dah mkuu nimevutiwa sana na Uzi wako,frankly speaking umesaidia wengi wasokuwa na ufahamu wa hili.
 
Back
Top Bottom