Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 1,950
- 6,092
Pia kuna hiki kipande cha kutoka Iringa kwenda Mbeya
Passo mbona utapasua injin hapo hapo na jamaa wanakuchukua wakakuphire kwanza kabla hawajakusachiHayo mawe nayavaa na drifting mpaka yanatawanyika then mwendo wake huo utasema gari iliyoibiwa.
Kusafiri Usiku Ni Kujitakia Wenyewe
Mkuu husiongee kirahisi hivyo ukafikiri ni movie za Hollywood. Yani gogo/jiwe lililobebwa na watu 2 likawekwa barabarani wewe ulibebe au kuliondoa kama unasogeza kiatu uvunguni mwa kitanda chako. Jaribu kuwa serious kidogo basi.ujue hadi pale unapokubali kulala chini hilo ni kosa tayari ila ukimkata huyo huyo na shotgun na ilivyo na mikelele lazima wengine wakimbie ... kazi kwako kutoa magogo na kukimbia
Mkuu husiongee kirahisi hivyo ukafikiri ni movie za Hollywood. Yani gogo/jiwe lililobebwa na watu 2 likawekwa barabarani wewe ulibebe au kuliondoa kama unasogeza kiatu uvunguni mwa kitanda chako. Jaribu kuwa serious kidogo basi.
Ni hivi hivi vi baby walker tunavyozungukia mjini au gari gani hiyo unaozungumzia ifanye hiyo drifting?Hayo mawe nayavaa na drifting mpaka yanatawanyika then mwendo wake huo utasema gari iliyoibiwa.
mkuu kwa kuandika ni rahis sanaHayo mawe nayavaa na drifting mpaka yanatawanyika then mwendo wake huo utasema gari iliyoibiwa.
rejea comment za juu kumbe kuna wadau humu walishuhudia tukio lingine barabara hiyoNashukuru sana kuanzia sasa nachukua tahadhari.
Mi mara nyingi nakuwa mwenyewe, na nashukuru Mungu sijawahi kutana na masahibu hayo zaidi ya kutekwa kwenye basi 2004.kwani kwenye gari usiku unatembea bila backup..... kweli usiku utembee mwenyewe hauko serious
Huyo atakuwa amezoea kucheza yale magame ya kwenye simu na laptop.mkuu kwa kuandika ni rahis sana
hapa ndio tunapokoseaIgp kazi yake ni kufunga mjadala wa lissu kupigwa risasi na kukamata maadmin wa whatsapp wanaoshare post za mange kimambi.
Majambazi hayamuhusu pambaneni na hali zenu.
Sikuja kukamata majambazi nimekuja kuwatumikia watanzania wanyonge
(Sizonje's voice)
Mlitekwa wapi?Mi mara nyingi nakuwa mwenyewe, na nashukuru Mungu sijawahi kutana na masahibu hayo zaidi ya kutekwa kwenye basi 2004.
Ni mbinu nyepesi tu mimi nlipita barabara ya bagamoyo msata pale daraja la ruvu kwa mbele nkakuta fuso 3 zimetekwa....mwenzangu akapanic nikamwambia tulia subiri watoke vichakani ndio tudeal nao kweli wakaja zaidi ya watu 7 na mapanga hpo mimi nasubiria tu nimtoe ubongo atakae sogea dirisha lagari,mwenzangu akafyatua kabla hawajafikia gari ndio watu kutokomea vichakaniHaikusaidii chochote mzee.sababu huwezi chomoa machine wakati hujui wako wanngapi .ukisema unachomoa machine wao wanakuona na wanakumaliza faster. So usijaribu hata Siku moja kwa kuokoa maisha yako.wakikuwahi we fuata maelekezo tu
Na hiyo back up inategemea inajiweza vipi. Kutekwa kusikieni kwenye vyombo vya habari na magazeti tu.kwani kwenye gari usiku unatembea bila backup..... kweli usiku utembee mwenyewe hauko serious
Mimi nasafiri ucku safari zangu zote,nimekutana nao mara moja hpo ruvu chini njia ya msatawadau wanaongezea na maeneo mengine utagundua njia nzima sio salamaa