Unyama bado unaendelea anaepigwa kijana ambaye ni mwanafunzi kulikuwa na sababu gani ya polisi kutumia nguvu namna hii
Kikwete na Mwema mtueleze watanzania nn kinaendelea katika Jeshi letu hasa polisi sababu ya matatizo haya hata kipofu anaona ni tatizo TUMECHOKAAAAAAAAAAAAAAAA
mleta mada kuwa little professional. Ni lini, ni wapi, kulikuwa na nini ni baadhi ya mambo yanayotakiwa, sio kutoa matamko tu. Inawezekana picha hiyo ni wakati wa mahita, hatujui, au wa mahundi hatujui. fafanua taarifa yako kutuweka sawa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.