Muhimu watu wawe na nidhamu na viongozi wao wafate sheria. Fujo hatutaki tena. Kama ni mkutano basi lazima ruhusa ya RPC, kama ni maandamano basi lazima ruhusa ya RPC na tutawachagulia maeneo ya maandamano lakini sio sokoni.
Muhimu watu wawe na nidhamu na viongozi wao wafate sheria. Fujo hatutaki tena. Kama ni mkutano basi lazima ruhusa ya RPC, kama ni maandamano basi lazima ruhusa ya RPC na tutawachagulia maeneo ya maandamano lakini sio sokoni.
Sasa si fanyeni mambo yenu bila kupitia kwa RPC ndio mtaelewa nini nasema. Lazima ruhusa ya polisi na hilo linajulikana wazi.
We jifariji na hayo maneno lakini utatulia tu, hii ndio bongo, Slaa alikataa kumtambua JK kama Rais,Slaa alisema hana imani na polisi na hawezi kukaa nao, Slaa alisema liwale na liwe mikutano itaendelea.
Leo yuko wapi? Amekula matapishi yake na amefyata mkia.
Sasa jiulize kama alie watuma amerudi rivasi je nyie mnaotumwa si mtakimbia kabisa?
Mkuu huyo hata siasa hajui...kuna kitu cha giza kinamuendeshaUna pepo ndio lazungumza ndani yako sio wewe!!!!! sina muda wa kujibizana na ibirisi!
Unawaona madevil au unataka kutuambia nini ukweli ni kwamba Tangu Mwandosya alipokataa mpango wa wizi wa kampuni ya IPTL walipokuwa wizara ya nishati pamoja miaka hiyo basi Kikwete yeye na wanyakyusa paka na panya analipiza kisasi na amri yake ni eliminate himmwandosya - mwakyembe - ulimboka - mwagosi
:shetani:
usilolijua ni kama usiku wa giza.hata yule chizi wa pale darajani mlalakuwa,anatambua wanavyo mpigia magoti ya kutaka muafaka.
Ibada ya kumuombea marehemu inamalizika ,tunaanza kuaga mwili wa mpendwa wetu.soon and very soon we are going to have the changes.
muhimu watu wawe na nidhamu na viongozi wao wafate sheria. Fujo hatutaki tena. Kama ni mkutano basi lazima ruhusa ya rpc, kama ni maandamano basi lazima ruhusa ya rpc na tutawachagulia maeneo ya maandamano lakini sio sokoni.
Nakubaliana na wewe, usilolijua ni kama usiku wa giza, pamoja na kuwa uko karibu na mzee slaa lakini inavyo onekana kuna mengi yanakupita au yeye pia hayajui. Itakuja siku utayajua na mimi nitakuwepo kuwakumbusha.usilolijua ni kama usiku wa giza.hata yule chizi wa pale darajani mlalakuwa,anatambua wanavyo mpigia magoti ya kutaka muafaka.
Ibada ya kumuombea marehemu inamalizika ,tunaanza kuaga mwili wa mpendwa wetu.soon and very soon we are going to have the changes.
Sio kila anaekuja humu ametumwa, na sio wote humu tunatumika kisiasa. Haya ni maoni binafsi na kama tutakubaliana kwa kila jambo linalo letwa humu JF basi hakutakuwa na sababu ya kuja humu.kwanza nampa pole mwanzisha uzi huu anaeomba nguvu isitumike mbeya.
Lkn namkumbusha tu hawa wanaoumizwa na huu ukandamizaji wa utu wengi wao ni watu wa mbeya mfano pr.mwaikusa,dr.mwakyembe,dr.ulimboka na sasa mwangosi
nafikiri kama ni beeping imeshafanyika ilichobaki ni kuwapigia tu.
Na pili kwako wewe majebere aka mahindi sijajua ka ma umetumwa na hawa wakandamizaji wa haki au ni mawazo yako binafsi nakuomba unijuze
Muhimu watu wawe na nidhamu na viongozi wao wafate sheria. Fujo hatutaki tena. Kama ni mkutano basi lazima ruhusa ya RPC, kama ni maandamano basi lazima ruhusa ya RPC na tutawachagulia maeneo ya maandamano lakini sio sokoni.