IGP Chonde chonde ujinga huu usitokee Mbeya!!

masopakyindi

Platinum Member
Jul 5, 2011
17,882
13,172
Tumeona matukio ya kusikitisha tokea mikutano ya CDM ilivyoanza kuanzia Morogoro na hata Iringa
Serikali imetumia nguvu kubwa pasipo ulazima wowote bila kujali kuwa wanao umia ni Watanzania walipa kodi, wawe CHADEMA au vinginevyo.

Amani tuliyozoea kuiimba kila siku haivunjwi na wananchi bali vyombo vya dola-kiashirio ambacho si kizuri kwa mustakabali wa nchi yetu.

Mimi ni mwana CCM lakini kile ninachoona hakinipi faraja yoyote kama kuna utawala bora.Serikali nahisi imeingia kichwa kichwa katika mtego wa CDM na sidhani kama watatoka bila mikono ya baadhi ya viongozi kulowa damu.

Ningependa kumwomba Kamanda IGP kwamba muendelezo wa kutumia maguvu bila akili sana sasa unapitiliza kuliko kiasi.

Ni kwa nia hii hii njema ningemwomba ASITUMIE staili hii huko Mbeya maana vijana wa pale Mwanjelwa hawabipiki.
Ukiwabipu watapiga kweli.
Hatujasahau zile fujo za siku tatu nzima, ambazo zilizimwa na kauli tu ya Mhe Sugu.

Sote tunapenda amani, lakini kwa mtindo huu wa Polisi amani nahisi haitachukua muda mrefu kusambaratika.
 
Muhimu watu wawe na nidhamu na viongozi wao wafate sheria. Fujo hatutaki tena. Kama ni mkutano basi lazima ruhusa ya RPC, kama ni maandamano basi lazima ruhusa ya RPC na tutawachagulia maeneo ya maandamano lakini sio sokoni.
 
Tumeona matukio ya kusikitisha tokea mikutano ya CDM ilivyoanza kuanzia Morogoro na hata Iringa
Serikali imetumia nguvu kubwa pasipo ulazima wowote bila kujali kuwa wanao umia ni Watanzania walipa kodi, wawe CHADEMA au vinginevyo.

Amani tuliyozoea kuiimba kila siku haivunjwi na wananchi bali vyombo vya dola-kiashirio ambacho si kizuri kwa mustakabali wa nchi yetu.

Mimi ni mwana CCM lakini kile ninachoona hakinipi faraja yoyote kama kuna utawala bora.Serikali nahisi imeingia kichwa kichwa katika mtego wa CDM na sidhani kama watatoka bila mikono ya baadhi ya viongozi kulowa damu.

Ningependa kumwomba Kamanda IGP kwamba muendelezo wa kutumia maguvu bila akili sana sasa unapitiliza kuliko kiasi.

Ni kwa nia hii hii njema ningemwomba ASITUMIE staili hii huko Mbeya maana vijana wa pale Mwanjelwa hawabipiki.
Ukiwabipu watapiga kweli.
Hatujasahau zile fujo za siku tatu nzima, ambazo zilizimwa na kauli tu ya Mhe Sugu.

Sote tunapenda amani, lakini kwa mtindo huu wa Polisi amani nahisi haitachukua muda mrefu kusambaratika.

Umechelewa sana kuliona hilo. CCM ndivyo mlivyo
 
Muhimu watu wawe na nidhamu na viongozi wao wafate sheria. Fujo hatutaki tena. Kama ni mkutano basi lazima ruhusa ya RPC, kama ni maandamano basi lazima ruhusa ya RPC na tutawachagulia maeneo ya maandamano lakini sio sokoni.

Kuanzia sasa hatuhitaji ruhusa ya polisi ili ikiwezekana watuue wote. Nani amewapa polisi kibali cha kuwa viranja wetu kwa kutumia risasi. Lilwalo na liwe sasa!
 
Tumeona matukio ya kusikitisha tokea mikutano ya CDM ilivyoanza kuanzia Morogoro na hata Iringa
Serikali imetumia nguvu kubwa pasipo ulazima wowote bila kujali kuwa wanao umia ni Watanzania walipa kodi, wawe CHADEMA au vinginevyo.

Amani tuliyozoea kuiimba kila siku haivunjwi na wananchi bali vyombo vya dola-kiashirio ambacho si kizuri kwa mustakabali wa nchi yetu.

Mimi ni mwana CCM lakini kile ninachoona hakinipi faraja yoyote kama kuna utawala bora.Serikali nahisi imeingia kichwa kichwa katika mtego wa CDM na sidhani kama watatoka bila mikono ya baadhi ya viongozi kulowa damu.

Ningependa kumwomba Kamanda IGP kwamba muendelezo wa kutumia maguvu bila akili sana sasa unapitiliza kuliko kiasi.

Ni kwa nia hii hii njema ningemwomba ASITUMIE staili hii huko Mbeya maana vijana wa pale Mwanjelwa hawabipiki.
Ukiwabipu watapiga kweli.
Hatujasahau zile fujo za siku tatu nzima, ambazo zilizimwa na kauli tu ya Mhe Sugu.

Sote tunapenda amani, lakini kwa mtindo huu wa Polisi amani nahisi haitachukua muda mrefu kusambaratika.

Game ya sasa inahitaji mbinu za kisasa pia...bado tuko na mbinu ya zama za mawe.
 
majebere huwa unafikiria kwa kutumia nini maana wewe ni mjinga sana vitu viko wazi wewe unaongea ujinga why killing people?hiyo kwako weweunaona sawa pumbavu saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana wewe
 
Muhimu watu wawe na nidhamu na viongozi wao wafate sheria. Fujo hatutaki tena. Kama ni mkutano basi lazima ruhusa ya RPC, kama ni maandamano basi lazima ruhusa ya RPC na tutawachagulia maeneo ya maandamano lakini sio sokoni.

Mkuu umesema sawa kabisa...hakuna aliyejuu ya sheria. Hata polisi wenyewe wanatakiwa kuzifuata sheria. Ipo siku tutajua kwanini kuna umuhimu wa kuhakikisha vyombo vya sheria vinakuwa sio sehemu ya siasa. Hizi za leo za kuua ni dalili zake tu ambazo kweli zinaleta huzuni.Sisi wengine hatukuzoea hayo
 
Kuanzia sasa hatuhitaji ruhusa ya polisi ili ikiwezekana watuue wote. Nani amewapa polisi kibali cha kuwa viranja wetu kwa kutumia risasi. Lilwalo na liwe sasa!
We jifariji na hayo maneno lakini utatulia tu, hii ndio bongo, Slaa alikataa kumtambua JK kama Rais,Slaa alisema hana imani na polisi na hawezi kukaa nao, Slaa alisema liwale na liwe mikutano itaendelea.
Leo yuko wapi? Amekula matapishi yake na amefyata mkia.

Sasa jiulize kama alie watuma amerudi rivasi je nyie mnaotumwa si mtakimbia kabisa?
 
Muhimu watu wawe na nidhamu na viongozi wao wafate sheria. Fujo hatutaki tena. Kama ni mkutano basi lazima ruhusa ya RPC, kama ni maandamano basi lazima ruhusa ya RPC na tutawachagulia maeneo ya maandamano lakini sio sokoni.

Unaposema lazima rugusa ya RPC unatumia sheria gani? Hebu tuwekee hicho kifungu cha sheria kinachataka vyama vipewe ruhusa na polisi kabla ya kufanya mkutano au kuandamana!
 
Muhimu watu wawe na nidhamu na viongozi wao wafate sheria. Fujo hatutaki tena. Kama ni mkutano basi lazima ruhusa ya RPC, kama ni maandamano basi lazima ruhusa ya RPC na tutawachagulia maeneo ya maandamano lakini sio sokoni.
Kikatiba RPC hana ruhusa ya kuzuia mkutano wa chama chochote cha siasa, wanachofanya MRPC kwa kutumia sheria za kikandamizi, wanavunja katiba ya nchi hii tuipendayo ya Tanzania!!! Kama huamini ngoja wapelekwe The Hague waende wajitetee eti kuna uvunjifu wa amani tukauwa watu!!!! Kazi ya Polisi ni kulinda raia na mali zao zisiharibiwe, si kuuwa watu waliobeba mabango na matawi ya miti eti wamevunja amani!!!!

 
Mkuu kwa mtindo huu wa Polisi hata Mwenyekiti wa CCM sidhani kama anapata starehe moyoni kwa yanayotokea!

hee huna habari? mwenyekiti wa ccm hana hata habari ya haya matukio...yuko bize anashuhulikia trip yake ya UK hivi karibuni
 
Muhimu watu wawe na nidhamu na viongozi wao wafate sheria. Fujo hatutaki tena. Kama ni mkutano basi lazima ruhusa ya RPC, kama ni maandamano basi lazima ruhusa ya RPC na tutawachagulia maeneo ya maandamano lakini sio sokoni.
wewe kimeo,rpc anapewa taarifa ili apange watu wa kusimamia sio anaombwa ruhusa.shida yenu magamba mlikubali vyama vingi ili mpewe pesa na wazungu,hambkufikilia kuwa kuna watu watakuwa na upinzani wa kweli.chama cha siasa au watu wowote wanahaki ya kuandama au kufanya mkutano na nihaki yao kikatiba.
 
wewe kimeo,rpc anapewa taarifa ili apange watu wa kusimamia sio anaombwa ruhusa.shida yenu magamba mlikubali vyama vingi ili mpewe pesa na wazungu,hambkufikilia kuwa kuna watu watakuwa na upinzani wa kweli.chama cha siasa au watu wowote wanahaki ya kuandama au kufanya mkutano na nihaki yao kikatiba.
Sasa si fanyeni mambo yenu bila kupitia kwa RPC ndio mtaelewa nini nasema. Lazima ruhusa ya polisi na hilo linajulikana wazi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom