Masanja
JF-Expert Member
- Aug 1, 2007
- 4,820
- 8,886
Hivi KADA MPINZANI unajua kuna watu mnaookaka harafu mnakuwa walokole kuliko makasisi mmliowakuta. Unajua nafuatilia sana mada zako humu, I TRURLLY RESPECT your contributions and intelect. Lakina what puzzles me wewe inaonekana umekuwa msemaji mkuu wa CCM kuliko Makamba ambaye analipwa kodi zetu kufanya hiyo kazi(na wewe unaweza kuwa unalipwa, mi sijui, ila hata kama basi Makamba is your BOSS) lakini you are killing the atmosphere of legitimate debate especially when it comes to put the governement to account! Maana mtu akiongea anything to do with serikali wewe unaona kama vile hii serikali hatuipendi na tunaichukia! au wote ni wanachadema (nothing wrong with that either)
Do you know kwamba JK alipigiwa kura na wengi wetu humu? au unafikiri ni makada kama wewe mlipiga kura kumchagua tuu (Infact wengine hawajawahi hata kupiga kura-sijui wewe uko kundi lipi) Kwa hiyo tuna HAKI NA WAJIBU wa kumkosoa kadri tunavyotaka! Tulimchagua sisi, much as na wewe una hiyo haki ya kuitetea system, lakini its a gross error, we kuona kwamba whoever is critiquing the governemnt is against it! ITS WRONG!
Me personally Iam not against the governement of JK or him personally but Iam against the actions of his ministers, politicians and technocrats who are plundering our country with impunity and yet the man we gave responsibility to arrest the situation is busy smiling! in such a situation siwezi kumlaumu KARAMAGI, NAMLAUMU ALIYEMPA KAZI NA KUMLINDA PALE ALIPO! So my friend, get life and know that this man was elected by most of US and I and others have legitimate exectations from him to do well for our country! If you are on the other side of the fence (again there is nothing wrong with that either) Please relax so that WE voters can demand accountability from the man we gave trust.
Democrasi ni kutofautiana, but we should do so with humility and respect. Not every body is upinzani kichama, ila wengi tuko upinzani kisera na kimatendo!
Weeekend njema na tuendelee kukataa issues!
Do you know kwamba JK alipigiwa kura na wengi wetu humu? au unafikiri ni makada kama wewe mlipiga kura kumchagua tuu (Infact wengine hawajawahi hata kupiga kura-sijui wewe uko kundi lipi) Kwa hiyo tuna HAKI NA WAJIBU wa kumkosoa kadri tunavyotaka! Tulimchagua sisi, much as na wewe una hiyo haki ya kuitetea system, lakini its a gross error, we kuona kwamba whoever is critiquing the governemnt is against it! ITS WRONG!
Me personally Iam not against the governement of JK or him personally but Iam against the actions of his ministers, politicians and technocrats who are plundering our country with impunity and yet the man we gave responsibility to arrest the situation is busy smiling! in such a situation siwezi kumlaumu KARAMAGI, NAMLAUMU ALIYEMPA KAZI NA KUMLINDA PALE ALIPO! So my friend, get life and know that this man was elected by most of US and I and others have legitimate exectations from him to do well for our country! If you are on the other side of the fence (again there is nothing wrong with that either) Please relax so that WE voters can demand accountability from the man we gave trust.
Democrasi ni kutofautiana, but we should do so with humility and respect. Not every body is upinzani kichama, ila wengi tuko upinzani kisera na kimatendo!
Weeekend njema na tuendelee kukataa issues!