Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,236
Baba utaweza kweli haya maisha bora? wale 5 ambao tayari ongeza 4 tena? mhh? unanitia wasiwasi.unataka tuanzishe timu ya mpira?NiPM basi tupange.
Baba utaweza kweli haya maisha bora? wale 5 ambao tayari ongeza 4 tena? mhh? unanitia wasiwasi.unataka tuanzishe timu ya mpira?NiPM basi tupange.
mie nataka weeeeeeeeeeengi mpaka kizazi kitakapochoka chenyewe
Watatu me wananitosha, lakini mtarajiwa akihitaji zaidi ya hao poa tu hata kumi.
Heeeee! umekaa sana uhindini ndo umeiga mpaka tabia zao .... maana mwanamke anazalishwa mpaka kizazi kinachoka na kuzaa taahira ambaye ndo wa mwisho kazi ipo..........................
leo umejikamatisha mwenyeweeee, kumbe!, Lol.Ka mausi kangu kanataka mmoja tu! kameshaanza hako! teh teh teh
Ka mausi kangu kanataka mmoja tu! kameshaanza hako! teh teh teh
siku nikikutembelea nitakumbana na vitoto vimefatana bila mpangilio haya mi thimo
Kama hawa??? teh teh teh! Mh Inahitaji mgongo!
Hata mimi nakubali, wawili wanatosha!
huyu amevuka mipaka
leo umejikamatisha mwenyeweeee, kumbe!, Lol.
Baba utaweza kweli haya maisha bora? wale 5 ambao tayari ongeza 4 tena? mhh? unanitia wasiwasi.unataka tuanzishe timu ya mpira?
Ningependa kujua hapahapa janvini, wewe uwe mwanaume au mwanamke, ungependa kuwa na watoto wangapi katika familia yako kama hujaanza kuzaa au kama unaeye mmoja tayari. Jibu baada ya kuangalia factors zote za gharama za maisha especially kama unataka mwanao aishi maisha mazuri, elimu bora ili in one day aweze kufanya mambo ya maana na sio kuishi kwa wasiwasi bila kujua kesho itakuwaje. Pia zingatia kipato cha kawaida kwa mtanzania na gharama za elimu zilivyo. Ni kama reseach na ninaamini itatusaidia wengi ambao tuko kwenye dillema ya suala hili.