I want to marry My Mother

Hivi chama cha wanaume kimekufa? Inatakiwa kiingilie kati hilo swala
 
Kwani watoto wa kiume wanapozaliwa wanakuwa na nguo zao?

Kisa cha akina mama kupenda sana watoto wao wa kiume ni filosofia ya uumbaji..watoto wa kiume wanapopita kwenye njia ile ambayo baba zao nao wanaitumia katika zoezi la kuwatengeneza, wakigusa sehemu hizo za mama zao shida ndipo inapoanzia na hilo linapelekea pengine akina mama kuwapenda zaidi watoto wao wa kiume kiasi cha kufikia kuvuruga ndoa zao wanapooa.

Hiyo ni kwa mujibu wanafilosofia!!
 
Hata hapa bongo hii hbr ipo hasa kwa Imani za kishirikina wengi wanaamini kuwa wakifanya mapenzi na mama zao wanakuwa na mali nyingi.
 
...haya sasa! Sasa si baba tena kumpa bintie zawadi ya mtoto ila MAMA...
 
hii dunia tunapoelekea sasa......................... Mwenyezi Mungu aturehemu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom