hili litakuwa belee bilii au bolooo
Hii ni super bolooooo lol
hata mie naona hiyo ndo inafaa
midume yote hii hadi wala mayai yako mwenyewe?
@AD
afu sio kwamba anampenda kijana wake
ni pesa anaogopa isiende kwa mwanamke mwingine
ukute hata alimlazimisha mtoto wake ku du naye.