I smell ufisadi at Machinga Complex

Project inanuka toka mwanzo. Hivi moto ukitokea hao machinga na wateja wao watakimbilia wapi?

Amandla........
 
What I know contractor ni Bwana Baghdad. Anaemlipa Baghdad kwa wajili ya ujenzi ni NSSF. NSSF imeikopesha City Council ya DSM kwa dhamana ya serikali. Initially gharama ilikuwa 10 bilioni. Sasa nasikia imeongezeka. Mradi huu ulibuniwa na Mayor Adam Kimbisa. Ni yeye ndiye aliemteua Zungu kuwa Mwenyekiti wa Bodi.

Kutokana na idadi ya wamachinga walioko DSM na wanaingia kila siku toka mkoani, Smart Holdings ipewe tenda au isipewe tenda lile eneo halitoshi hata. Hata wale watakaopewa nao watauza. Wale wamachinga wanaotembea barabarani hawatalitumia. Hiyo ndiyo habari yenyewe
 
What I know contractor ni Bwana Baghdad. Anaemlipa Baghdad kwa wajili ya ujenzi ni NSSF. NSSF imeikopesha City Council ya DSM kwa dhamana ya serikali. Initially gharama ilikuwa 10 bilioni. Sasa nasikia imeongezeka. Mradi huu ulibuniwa na Mayor Adam Kimbisa. Ni yeye ndiye aliemteua Zungu kuwa Mwenyekiti wa Bodi.

Kutokana na idadi ya wamachinga walioko DSM na wanaingia kila siku toka mkoani, Smart Holdings ipewe tenda au isipewe tenda lile eneo halitoshi hata. Hata wale watakaopewa nao watauza. Wale wamachinga wanaotembea barabarani hawatalitumia. Hiyo ndiyo habari yenyewe

Ndiyo maana hata jina lenyewe halistahili. Ni matusi kwa wamachinga.

Amandla.....
 
NB: Moderator usiiondoe hii thread naona tangu Jumamosi unaangaika kuitoa kulikoni? kuna ndugu wanahusika au we mwanamtandao? naomba ijadiliwe humu mpk lini tutaendelea kulipa vitu visivyo na thamani halisi yaani (overprized)?


While the incharged authorities will claim a technical error occured during construction of the complex, i see a well calculated motive to swindle about 35% of the money allocated for the Machinga project if we are to take a simple math 6500 rooms space translates into 65% of the anticipated capacity! where are the 3500 rooms? arent they 35% target missed? and what do they translates in real money value? a f***n 3.5 bio. Tshs from total 10 bio. Tshs allocated for the project!!! Where is TAKURURU here?

RC: Machinga Complex space below earlier plans
ABDULWAKIL SAIBOKO, 5th December 2009 @ 21:24, Total Comments: 0, Hits: 160

THE Machinga Complex in Dar es Salaam, which was earlier planned to accommodate 10,000 small scale traders can afford to take 6,500 only, it was announced in Dar es Salaam yesterday.

The space available is 35 per cent lower than the earlier estimates, Regional Commissioner, Mr William Lukuvi, said in a speech read on his behalf by Regional Trade Officer, Mr Matambo Mhina, at a meeting that deliberated on the plight of small scale traders.

He said delay in the process of handing over the complex to small scale traders, popularly known as Machingas, was a serious problem. The programme was in line with the government policy of creating as many jobs as possible, particularly to the youth.

Earlier, the Chairman of the Board of Machinga Complex, Mr Mussa Azan Zungu, told the traders who gathered at the Korea Hall in the City that the fall in space available was due to a fault in initial architectural drawings.

He said a unit was now accommodating only three traders, instead of six as initially planned.

"We came to find out that if six people are to trade in a single unit, the area will be terribly overcrowded and unhealthy," he added.

Mr Zungu said that the exact date to move in the facility would be known after a joint meeting with the City Director next week.

"The building has not yet been handed over to the City Council and the units are under construction. We, therefore, have to meet the City Director and determine when traders are going to move in," he explained.

Mr Zungu assured the traders that there would be no corruption in the process of getting appropriate tenants in the complex as the identification work would be done by their leaders.

"Our role will be to provide space to names presented to us by your leaders and the work will be done fairly," he said.

The Dar es Salaam City Director, Mr Bakari Kingobi, told the 'Sunday News' in an exclusive interview that some 340

http://www.dailynews.co.tz/home/?n=5862&cat=home
 
Mwenzako alishakuwahi ndiyo maana wanaziunganisha. Kwa nini topic moja ijadiliwe sehemu mbili tofauti? Soma kwanza thread zilizopo kabla ya kubandika ya kwako.

Amandla......
 
lakini discussion yangu mimi ni tofauti mimi inaongelea prize value! Anyway nimeelewa!
 
Kuna sababu nyingi za kiushindani ila mkumbuke pia kwamba tanzania tuna upungufu wa kampuni binafsi zilizo repurtable... nitajieni mbadala basi kama wapo!! Nani Outdoor? Msama promotion?

Vilevile tujue kwamba bakuli la uchaguzi limeanza na hizi ndio routes tamu za kukusanya bila maumizu mazee, halmashauri hazina kauli kwenye baadhi ya maamuzi mengine yanatoka juu sana (ila sijui kwa hili ni vipi)

Inauma lakini ndio bongo yetu labda tupate kampuni za kigeni

Naweza kuamini maneno yako kwa kujiuliza swali moja tu..." Kwanini Waziri mkuu Mizengwe Pinda hajatoa ripoti ya CAG mpakaleo???"
icon6.gif
 
Hali taifa bado limegubikwa na uchafu/ubadhilifu wa ubungo bus terminal (UBT) uliokuwa ukifanywa na familia ya Kingunge Ngombale Mwilu; na kupelekea Waziri Mkuu (mh Pinda) kumwagiza CAG kukagua shughuli za hesabu pale UBT, inasemekana ile kampuni ya wakala wa ukusanyaji mapato, imekwisha kabidhiwa RUNGU kuanza kusimamia zoezi la ukusanyaji mapato, pale Machinga Complex.

Hapo ndipo nilipo tamka yale yaleeeeeee; kabla Mh Waziri Mkuu hata hajatueleza ni nini kilichojili baada ya kupitia makablasha aliyopewa na mzee CAG; wamekwishazunguka nyuma kumpatia Kingunge ulaji.

Kama ndivyo ilivyo, wamachinga mkae mkao wa kilio cha machozi ya samaki; ili machozi yaende na maji!!. Vinginevyo, haiwezekani, wala haiingii akilini, mtu aliyefanya au kusemekana kufanya ubadhilifu, kupewa kazi hii hata kabla ya taarifa ya mh CAG kugonga masikio ya watanzania!!

Sasa tufike mahali tuseme, watanzania tumefanywa bongo lala!!!.
 
na Lucy Ngowi

IMEBAINIKA kuwa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, ndiyo chanzo cha kufunguliwa kwa jengo la Machinga Complex lililopo eneo la Ilala.

Akizungumza na Tanzania Daima Jumatano jana, Meneja Uhusiano wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Eunice Chiume, alisema ucheleweshaji wa kufunguliwa kwa jengo hilo, unasababishwa na uongozi wa Halmashauri ya Jiji.

Kwa mujibu wa Chiume, NSSF ipo tayari wakati wowote kukabidhi jengo hilo, lakini uongozi wa halmashauri wameomba wasubiri kwa kuwa bado hawajakamilisha ujenzi wa vioski vya wafanyabiashara.

Meneja huyo alisema, awali NSSF ndiyo ilitakiwa ikamilishe ujenzi wa vioski hivyo, lakini halmashauri iliomba ishughulikie suala hilo kwa kuhofia gharama za ujenzi kuzidi kuongezeka.

"Halmashauri wenyewe wanamalizia kujenga vioski, tarehe watakayomaliza haijulikani. Wanajenga vioski hivyo kwa kuwa waliona shirika likijenga gharama itaongezeka baada ya kubadilisha kutoka vioski vitatu hadi sita.

"NSSF wanataka kukabidhi ila halmashauri hawapo tayari, wanasema mpaka vioski viishe. Sasa liishe lini wakati wao ndio wanamalizia kujenga?" alihoji meneja huyo.

Alisema ucheleweshwaji wa jengo hilo, unachelewesha ujenzi mwingine wa jengo la wamachinga katika Wilaya ya Temeke na Kinondoni.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, Bakari Kigoba, alisema ucheleweshaji wa kuanza kwa jengo hilo unasababishwa na NSSF, kwani hawajawakabidhi. "Bado sijakabidhiwa jengo na NSSF, ninangoja wakinikabidhi niendelee na yale niliyoyapanga katika jengo hili," alisema mkurugenzi huyo. NSSF imetoa mkopo wa sh bilioni 12 kwa ajili ya ujenzi wa jengo hilo la Machinga Complex.


Chanzo: Tanzania Daima

Hoja Zangu
Kwa mwendo huu hivi kweli Serikali ya CCM ina dhamira ya dhati ya kumuinua mfanyabiashara mdogo?au wanafanya siasa tu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom