I.Q ya mtu mlevi ni ya juu kuliko ya yule asiyekunywa.

Title ya thread inasema IQ ya mtu mlevi, maelezo yanasema IQ ya mtoto wa mlevi, confusion!!! Labda ungeweka sawa, utafiti wako umewafanyia watoto wa walevi au walevi wenyewe? Maana si lazima mtoto wa mlevi awe mlevi. Kigezo kipi ulitumia kumcategorize mtu katika kundi la walevi, idadi ya bia, muda anaospend bar, or just mnywaji yeyote? Sample ilikuwaje? Kwa mujibu wa wesite ya Wiki Answer, IQ ya mtu haibadiliki with age, ila inalinganishwa na mtu mwingine wa the same age. Sasa iwapo mtu aliwahi kuwa mlevi katika umri fulani, miaka kadhaa baadaye akaacha kabisa kulewa, then miaka kadhaa baadaye akaja akapata mtoto katika hali ya kutokuwa mlevi, huyu unamcategorize wapi, kwa walevi au wasio walevi? (Hapa ukumbuke IQ ni ratio, tena a function of age !!!) Kuna doubt nyingi katika utafiti wako. Umeshasubmit somewhere? Au ndo unakusanya data hapa kimtindo?
 
Title ya thread inasema IQ ya mtu mlevi, maelezo yanasema IQ ya mtoto wa mlevi, confusion!!! Labda ungeweka sawa, utafiti wako umewafanyia watoto wa walevi au walevi wenyewe? Maana si lazima mtoto wa mlevi awe mlevi. Kigezo kipi ulitumia kumcategorize mtu katika kundi la walevi, idadi ya bia, muda anaospend bar, or just mnywaji yeyote? Sample ilikuwaje? Kwa mujibu wa wesite ya Wiki Answer, IQ ya mtu haibadiliki with age, ila inalinganishwa na mtu mwingine wa the same age. Sasa iwapo mtu aliwahi kuwa mlevi katika umri fulani, miaka kadhaa baadaye akaacha kabisa kulewa, then miaka kadhaa baadaye akaja akapata mtoto katika hali ya kutokuwa mlevi, huyu unamcategorize wapi, kwa walevi au wasio walevi? (Hapa ukumbuke IQ ni ratio, tena a function of age !!!) Kuna doubt nyingi katika utafiti wako. Umeshasubmit somewhere? Au ndo unakusanya data hapa kimtindo?

teh teh teh he he..mkuu maswali yako ni magumu sana kwenye hii thread ya kuvunja mbavu..
 
Mimi siyo mlevi na hoja zangu ni za uhakika. Kama unabisha angalia idadi ya asante nilizopata hadi kufikia sasa...

Sidhani kama kuna ukweli hapo kulingana na statistics zako;

Total posts 9,758
Total thanks 3,588 in 2,214 posts.

Ina maana kwamba kwa posts zako 9,758 umepewa asante 3,588 ambazo ni sawa na 37% (3,588/9,75 of your total posts! Hii percentage ni ndogo sana mkuu....!

So inawezekana kuna ukweli kwenye hoja ya mtoa hoja wa kwanza!
 
Wadau katika utafiti nilioufanya kwa kipindi cha miaka 20 sasa ni kwamba nimegundua kuwa wanywaji wengi watoto wao huwa na I.Q ya juu zaidi kuliko ya wale ambao hawaonji kabisa pombe.Jaribu haya yafuatao;
Kwanza,Watoto mnaowaita vipanga darasani historia ya wazazi ni wanywaji au babu/bibi zao walikuwa wanywaji.

Pili,Wale tunaotoka mikoa ya Kanda ya Ziwa ambako gongo ni pombe ya kawaida,angalia analysis yetu ni tofauti na wale watokao ukanda wa kati.
Tatu,Warusi wengi ni walevi na darasani ni moto wa kuotea mbali.
Nimekusanya data nyingi na michanganuo tofauti kutoka sehemu mbali mbali za dunia nami nimefikia conclusion kama hiyo.Wadau kwenu kwa data zaidi.

Any idea can be true or false based on scientific findings. Of course you given us no source and the study location so it looks like your personal observation. Nevertheless, personal observations can be a cornerstone for plausible research. May be you tell us what was the factors determining IQ from your study and how were they statistically different from one another? If one is to carry this type of research, utterly, will end up with at least two factors determining IQ. Out of these explanatory variables, hypothesis testing can be made to zero to specific factor influencing IQ. To clear doubt, one should explain the choice of his model, modeling approach, tests for violations of classical assumptions, model estimates, sample size and sample characteristics, etc. Having briefed that, you can be able to tell at what confidence level are you certain with your findings. I will be grateful to here from you on this very topic issue.
 
Mimi siyo mlevi na hoja zangu ni za uhakika. Kama unabisha angalia idadi ya asante nilizopata hadi kufikia sasa...

Kwani ile kufungiwa haikuwa kwa ajili ya ulevi ;-)

Mabwana harusi pia hulewa kabla ya spichi zao.....teh teh teh
 
Wadau katika utafiti nilioufanya kwa kipindi cha miaka 20 sasa ni kwamba nimegundua kuwa wanywaji wengi watoto wao huwa na I.Q ya juu zaidi kuliko ya wale ambao hawaonji kabisa pombe.Jaribu haya yafuatao;
Kwanza,Watoto mnaowaita vipanga darasani historia ya wazazi ni wanywaji au babu/bibi zao walikuwa wanywaji.

Pili,Wale tunaotoka mikoa ya Kanda ya Ziwa ambako gongo ni pombe ya kawaida,angalia analysis yetu ni tofauti na wale watokao ukanda wa kati.
Tatu,Warusi wengi ni walevi na darasani ni moto wa kuotea mbali.
Nimekusanya data nyingi na michanganuo tofauti kutoka sehemu mbali mbali za dunia nami nimefikia conclusion kama hiyo.Wadau kwenu kwa data zaidi.
Safi sana! Kazi nzuri
 
Kiroroma ungekuwa karibu ningekupiga na ka-crate kamoja ka bia, maana una-akili sana ya kujua mambo
 
Afisa utumishi ambaye alikuwa anatupa semina elekezi kwa waajiriwa wapya halmashauri ya MUFINDI 2011 aligusia hili.
Alikiri kuwa watumishi wa umma (kwa experience yake) wanaokunywa pombe kwanza wapo vizuri kwenye vyeti hadi kazini, alikiri uwezo mkubwa wa kazi wa walevi ila alionya kuwa si tabia nzuri kazini. Naikumbuka sana kauli ile na nimethibitisha hilo nilipoanza kazi. Upo sahihi 130%
 
Inawezekana ni kweli. Marehemu mshua wangu alikuwa anakata maji ile mbaya. Halafu mie nimewakimbiza sana class
 
Sasa usipokitwangalize, si unakua mlevi wa lile janga la disemba 1...
 
Absolutely 120% true....hata hapa JF angalia member tunaotoa hoja makini jaribu kuulizia utakuta tunakunywa pombe.....

Kama ni kweli mbona Kitwanga alitumbuliwa Kwa kutwangika kwenye bunge
 
Back
Top Bottom