I.Q ya mtu mlevi ni ya juu kuliko ya yule asiyekunywa.

Kiroroma

JF-Expert Member
Feb 6, 2009
370
114
Wadau katika utafiti nilioufanya kwa kipindi cha miaka 20 sasa ni kwamba nimegundua kuwa wanywaji wengi watoto wao huwa na I.Q ya juu zaidi kuliko ya wale ambao hawaonji kabisa pombe.Jaribu haya yafuatao;
Kwanza,Watoto mnaowaita vipanga darasani historia ya wazazi ni wanywaji au babu/bibi zao walikuwa wanywaji.

Pili,Wale tunaotoka mikoa ya Kanda ya Ziwa ambako gongo ni pombe ya kawaida,angalia analysis yetu ni tofauti na wale watokao ukanda wa kati.
Tatu,Warusi wengi ni walevi na darasani ni moto wa kuotea mbali.
Nimekusanya data nyingi na michanganuo tofauti kutoka sehemu mbali mbali za dunia nami nimefikia conclusion kama hiyo.Wadau kwenu kwa data zaidi.
 
Kiroroma
Member
Join Date: Fri Feb 2009
Location: Lady Brand, RSA
Posts: 38
Thanks: 5
Thanked 19 Times in 8 Posts

"Thinking is the hardest work there is,
which is probably the reason so few engage in it."


Kule vijijini kwetu zamani ilikuwa ukienda kutibiwa kwenye Zahanati, utamsikia Mganga au Nesi, baada ya kumsikiliza aliyekuwa mbele yako, akisema: MWINGINE!, na ni hapo tu unaingia kuonana naye.

Its high time i now call... MWINGINE!
 
Wadau katika utafiti nilioufanya kwa kipindi cha miaka 20 sasa ni kwamba nimegundua kuwa wanywaji wengi watoto wao huwa na I.Q ya juu zaidi kuliko ya wale ambao hawaonji kabisa pombe.Jaribu haya yafuatao;
Kwanza,Watoto mnaowaita vipanga darasani historia ya wazazi ni wanywaji au babu/bibi zao walikuwa wanywaji.

Pili,Wale tunaotoka mikoa ya Kanda ya Ziwa ambako gongo ni pombe ya kawaida,angalia analysis yetu ni tofauti na wale watokao ukanda wa kati.
Tatu,Warusi wengi ni walevi na darasani ni moto wa kuotea mbali.
Nimekusanya data nyingi na michanganuo tofauti kutoka sehemu mbali mbali za dunia nami nimefikia conclusion kama hiyo.Wadau kwenu kwa data zaidi.
Absolutely 120% true....hata hapa JF angalia member tunaotoa hoja makini jaribu kuulizia utakuta tunakunywa pombe.....
 
Wadau katika utafiti nilioufanya kwa kipindi cha miaka 20 sasa ni kwamba nimegundua kuwa wanywaji wengi watoto wao huwa na I.Q ya juu zaidi kuliko ya wale ambao hawaonji kabisa pombe.Jaribu haya yafuatao;
Kwanza,Watoto mnaowaita vipanga darasani historia ya wazazi ni wanywaji au babu/bibi zao walikuwa wanywaji.

Pili,Wale tunaotoka mikoa ya Kanda ya Ziwa ambako gongo ni pombe ya kawaida,angalia analysis yetu ni tofauti na wale watokao ukanda wa kati.
Tatu,Warusi wengi ni walevi na darasani ni moto wa kuotea mbali.
Nimekusanya data nyingi na michanganuo tofauti kutoka sehemu mbali mbali za dunia nami nimefikia conclusion kama hiyo.Wadau kwenu kwa data zaidi.


This sounds like a PhD thesis! Nimeupenda huu utafiti 200% hebu nidondoshee machapisho yaliotokana na hii kazi....briliant ....Kudos..
 
Absolutely 120% true....hata hapa JF angalia member tunaotoa hoja makini jaribu kuulizia utakuta tunakunywa pombe.....

Asante mkuu,nilikuwa sijajua siri ya mafanikio yako,sijawaona konyagi na Kibunango kuunga mkona hoja.
 
Kama mzazi si mlevi, je akipata mtoto anaweza akaanza kumu-nywesha japo bia moja kila siku awe kipanga? hahahahhhhhahhahahaaaaa
 
Absolutely 120% true....hata hapa JF angalia member tunaotoa hoja makini jaribu kuulizia utakuta tunakunywa pombe.....

Mimi siyo mlevi na hoja zangu ni za uhakika. Kama unabisha angalia idadi ya asante nilizopata hadi kufikia sasa...
 
Silly thread..MODS do us a favour, ipelekeni hii kule inapostahili kwenye Udaku, Habari za Kutunga na Utani.
 
Breaking News: Gari la kusambaza bia lapata ajali mnazi mmoja, dsm

ngoja niwahi mnazi mmoja nikalianzishe
 
Back
Top Bottom