The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,899
lazima uchomekee uchokozi wako...haya bana.
umemuona?na msamiati juu
mwanaharasha??????means?????
lazima uchomekee uchokozi wako...haya bana.
si umeona eeh!!
wacha twende hivyo hivyo tu tutafika....
mi ndo maana napenda kumalizana hapa live and in the open air, longolongo si nzuri asilani!
si najibu pale ulipo niquote post 48 aundio umedare to talk openly kwenye jina langu pia?
btw: EXG has the same rights that you and me have here...talk openly!
umemuona?na msamiati juu
mwanaharasha??????means?????
umemuona?na msamiati juu
mwanaharasha??????means?????
wewe kata ishu tu, vijembe vya mtu wa tatu unaachana navyo.
Waswahili wanasema "kugombana na mtu kutaka" hagombani mtu mwaka huu
halo halooooo
**leo nipo kimwambao zaidi
Wewe kata ishu tu, vijembe vya mtu wa tatu unaachana navyo.
Waswahili wanasema "kugombana na mtu kutaka" hagombani mtu mwaka huu
Halo halooooo
**Leo nipo kimwambao zaidi
Duh nimeamini kuwa PAW anaweza shindwa kunipa ban kisa Kiswahili kigumu
Mpaka unipe mji
Unashangaa nini? wakati kujisajiri humu jamvini ni free. Mimi nadhani kungewekwa vigezo vya kujisajiri humu Jamvini.Hee...!!
na akikupa mji dengua kwanza....lol!
Utajibeba the boss leo
si najibu pale ulipo niquote post 48 au
usiniambie ndo mpango mzima? wewe una king'amuzi cha kugundua ni ID ya nani au inabaki kudhania tu kama akawida?
Sijataja jina ni maoni yangu tu, si unajua hapa we dare to talk tunavojisikia? au waonaje bahati
bwa hahaa!!!! Bwahaaa!!!! Bwahaahahaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!
huyu kaingia leo sidhani kama kaingia jukwaa la utambuzi
Join Date : 2nd September 2011
Posts : 1
Rep Power : 0
yaani anaweka item ambayo haiko 'so blind' halafu anachomekezea na "unajijua nani".....huo kama si uchokozi ni nini sasa?
Mtashtiti sana huyu gaijin!!!
Heee bwana mkubwa kicheko hicho! Vitatu kwa mpigo!
Nakuongezea hichi "khe khe he hee" courtesy of Kibunango
hii ya miji imepitwa na wakati
nampa nchi ....afghanistan...lol
ila hakijatokea kama cha yule mwenyewe....na simuoni tena siku hizi sijui kapotelea wapi.