Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
- Thread starter
- #21
Mkuu kweli imetulia!
:A S crown-1::A S crown-1:
Mkuu kweli imetulia!
una maanisha nini mkuu genekai?
I can bet my money that the old man is so much destructed that he can not understand anything she says or anything he says.
Huyu Shyrose alikuwa anamchanganya mzee wa watu akili, badala ya kumsaidia kuziba pacha ya baiskeli yake yeye anakaa kihasara hasara mbele yake!
huko ni karibu na hapa
Ndiyo maana mlima Kilimanjaro unapoteza theluji yake. Akina Ashok (introduced tree species) zinafanya nini hapo karibu na mlima?
Imenikumbusha somo la MaP reading and Photograph interpratation enzi hizo. kwenye somo la jiografia
Artificial thing about this picture ni hiyo chupa ya kilimanjaro aliyonayo huyo mzee.??????= Rushwa
Inaonyesha wanasiasa wakiwa wanasaka kura wanawapa watu vitu artificiaal au vya muda mchache . Wakishapata kura mzee angepigwa picha akiwa anakunywa maji ya................................................... malizia
BTN shyrose analipa
picha zote ulizo ziweka hapa ni makini sana nimezipenda sana ... cheers:A S crown-1:
Kwali kabisa tena hii ni hatali anamtega bila yeye kujijua ndio maana mzee wa watu hawezi hata kuongea kweli hii ni ngumu kabisa
tembea Tanzania