Pakawa
JF-Expert Member
- Mar 11, 2009
- 7,670
- 13,150
Wewe Jerusalem una kichwa ngumu sana sijui huelewi au ni nini?? Kwa nini post zako nyingi ni za UDINI?? Ndugu yangu chuki uliyonayo haitakupeleka pahala. Leo umekuja na mpya eti hukipendi Kiswahili kwa sababu kina arabs words sasa kweli utaishi dunia ya nani kwa mtindo huu. Mimi najivunia sana lugha yangu kwani hata hao waarabu hawaifahamu lugha yetu wanabahatisha maneno mawili matatu. Acha kutumia chuki yako ya kidini kuikashifu nchi yetu kwa kupitia lugha yetu ya Taifa. Jina lako na maneno yako ni tofauti. 'dhambi hii itakufuata nyuma.' Sisi sote ni wamoja machoni pa mungu.