mutu mrefu
Member
- Dec 28, 2013
- 92
- 23
dalili za uvivu vivu
Mtimawazo nakubaliana nawewe
dalili za uvivu vivu
Wengine kazi zao zinaruhusu kushinda JF
Kama sijawahi kukulilia shida hayakuhusu! Hujui naendeshaje maisha yangu wala pesa napataje USINIIGE UTAPOTEA
Mkuu mbn umepanic ni nin tatizo?
Wanasema :IGA UFE:
Usione watu tupo huku ukajua hakua kitu tunafanya;
Tunafanya kazi za serikali na kazi zetu zinaendelea kustawi sana tu.