Utategeka? Au utanizungusha tuuNaomba unitege na mimi basi
Wewe ushakusudia hautegeki. So nitatumia nguvu zangu kumbe unanikomoaMitego Inategemea na juhudi za mtegaji ujue
Nimeandika post nyingi kwenye hii kama ungezisoma zote ungeona kwamba ,,sijang'ang'ania" kubakwa tu, bali nimeweka pia sabau nyingine ambazo zinaweza kusababisha high sex drive kama genetics yaani kurithi, ugonjwa kwa sababu ameongelea addiction , na addiction huwa ni ugonjwa sasa kama ni addiction mara nyingi huwa na sababu, na sababu zinaweza kuwa nyingi kubakwa ikiwa ni moja wapo na kubwa, nyingine zinaweza kuwa kulelewa katika mazingira ambayo wazazi/walezi ni wakali sana na alibanwa matokeo yake kuchelewa sana kuanza sex na hivyo kumuathiri pia kisaikolojia n.k.
Muombe Mungu akusaidie hilo kwake ni jepesi sanaSijui ni tatizo, sijui ni kawaida, sijui naendekeza sijuiii....zamani nilihisi tu mambo ya u-teenager wala sikuona kama ni ishu, baadae nikahisi pia labda ujana tu ugali wa bure unakimbilia chini, kula kulala kunanizidishia hamu majukumu yakija nyegezi zitayeyuka, ila sasa naanza kushtuka na kuona sio kawaida baada ya kujiona nazeeka na hamu zangu.
Nimeshajaribu kujijengea hobbies na vitu vingine naona holaaa, kidogo social media zimenisaidi nimeimprove kiasi naweza pitisha wiki, kwakweli wiki ni improvement kubwa kwangu yani wiki without kwichii kwichii kwichiii ooh hallelujah. Niwe na furaha, huzuni, raha karaha kazi ni moja tu....koh koh
Muda wangu mwingi nawaza na kuutumia kwenye dudu la yuyu, nikipanga kufanya ishu muhimu ntajivutaaa weee najizungusha weee ila kwenye hii kitu sipotezi hata sekunde, sijarogwa kweli? Nahitaji kubadilika niwe busy na mambo mengine, nifanye nini?
Mtakaonisema, nidhihaki na mengineyo namwachia alie juu.
Alamsik....
Bado addiction inasumbua?Sijui ni tatizo, sijui ni kawaida, sijui naendekeza sijuiii....zamani nilihisi tu mambo ya u-teenager wala sikuona kama ni ishu, baadae nikahisi pia labda ujana tu ugali wa bure unakimbilia chini, kula kulala kunanizidishia hamu majukumu yakija nyegezi zitayeyuka, ila sasa naanza kushtuka na kuona sio kawaida baada ya kujiona nazeeka na hamu zangu.
Nimeshajaribu kujijengea hobbies na vitu vingine naona holaaa, kidogo social media zimenisaidi nimeimprove kiasi naweza pitisha wiki, kwakweli wiki ni improvement kubwa kwangu yani wiki without kwichii kwichii kwichiii ooh hallelujah. Niwe na furaha, huzuni, raha karaha kazi ni moja tu....koh koh
Muda wangu mwingi nawaza na kuutumia kwenye dudu la yuyu, nikipanga kufanya ishu muhimu ntajivutaaa weee najizungusha weee ila kwenye hii kitu sipotezi hata sekunde, sijarogwa kweli? Nahitaji kubadilika niwe busy na mambo mengine, nifanye nini?
Mtakaonisema, nidhihaki na mengineyo namwachia alie juu.
Alamsik....
Sure, ni risk factor hpv 16&18si wote, ila kama unatombesha kwa watu tofauti tofauti lazma upate
Fact, ni waongo kuliko uongoKuwa mwangalifu na usimuamini,
tumia condom muda wote, mara nyingi huwa wana Wanaume wengine na ni wajanja na waongo sana.
Gosh!Mara nyingi wanawake waliolazimishwa/ingiliwa kwa nguvu wakati wa utotoni na Wanaume wazima ndo huwa na hayo matatizo, huwa wanakuwa high sex drive, lkn inatibika ni trauma, tafuta clinical psychologist atakusaidia, uwe mkweli na historia ya maisha yako.
Nilishawahi kuwa na demu kama hiyo, baada ya kuona kwamba alikuwa na high sex drive klk kawaida nikaanza kuongea naye pole pole aliponiamini akafunguka na kuniambia kilichomtokea utotoni, inasikitisha sana.
Nimeambukizwa huu ugonjwa..Upo wapi Tabibu..??Watu wanatafuta wanawake kama wewe