I am addicted to sex

Nimeandika post nyingi kwenye hii kama ungezisoma zote ungeona kwamba ,,sijang'ang'ania" kubakwa tu, bali nimeweka pia sabau nyingine ambazo zinaweza kusababisha high sex drive kama genetics yaani kurithi, ugonjwa kwa sababu ameongelea addiction , na addiction huwa ni ugonjwa sasa kama ni addiction mara nyingi huwa na sababu, na sababu zinaweza kuwa nyingi kubakwa ikiwa ni moja wapo na kubwa, nyingine zinaweza kuwa kulelewa katika mazingira ambayo wazazi/walezi ni wakali sana na alibanwa matokeo yake kuchelewa sana kuanza sex na hivyo kumuathiri pia kisaikolojia n.k.

Kuchelewa kufanya ngono haina athari yoyote as long as the subject hasn't triggered anything to balance it out, when they feel the urge of having sex.


Siku yoyote atakapo ipata fursa ya kuanza maisha yake ki ngono, atakwenda vizuri tuu, na atajifunza maarifa na kuujenga uzoefu kama kawaida.
Anae weza kuzipata athari ni yule alie masturbate just to avoid intercourse, then aka stop the habit altogether(taboo au dini)... And they took a long time before tuning into natural sexual habit. Kuna vitu huenda vikapoteza muelekeo.
 
Sijui ni tatizo, sijui ni kawaida, sijui naendekeza sijuiii....zamani nilihisi tu mambo ya u-teenager wala sikuona kama ni ishu, baadae nikahisi pia labda ujana tu ugali wa bure unakimbilia chini, kula kulala kunanizidishia hamu majukumu yakija nyegezi zitayeyuka, ila sasa naanza kushtuka na kuona sio kawaida baada ya kujiona nazeeka na hamu zangu.

Nimeshajaribu kujijengea hobbies na vitu vingine naona holaaa, kidogo social media zimenisaidi nimeimprove kiasi naweza pitisha wiki, kwakweli wiki ni improvement kubwa kwangu yani wiki without kwichii kwichii kwichiii ooh hallelujah. Niwe na furaha, huzuni, raha karaha kazi ni moja tu....koh koh

Muda wangu mwingi nawaza na kuutumia kwenye dudu la yuyu, nikipanga kufanya ishu muhimu ntajivutaaa weee najizungusha weee ila kwenye hii kitu sipotezi hata sekunde, sijarogwa kweli? Nahitaji kubadilika niwe busy na mambo mengine, nifanye nini?
Mtakaonisema, nidhihaki na mengineyo namwachia alie juu.
Alamsik....
Muombe Mungu akusaidie hilo kwake ni jepesi sana
 
Sijui ni tatizo, sijui ni kawaida, sijui naendekeza sijuiii....zamani nilihisi tu mambo ya u-teenager wala sikuona kama ni ishu, baadae nikahisi pia labda ujana tu ugali wa bure unakimbilia chini, kula kulala kunanizidishia hamu majukumu yakija nyegezi zitayeyuka, ila sasa naanza kushtuka na kuona sio kawaida baada ya kujiona nazeeka na hamu zangu.

Nimeshajaribu kujijengea hobbies na vitu vingine naona holaaa, kidogo social media zimenisaidi nimeimprove kiasi naweza pitisha wiki, kwakweli wiki ni improvement kubwa kwangu yani wiki without kwichii kwichii kwichiii ooh hallelujah. Niwe na furaha, huzuni, raha karaha kazi ni moja tu....koh koh

Muda wangu mwingi nawaza na kuutumia kwenye dudu la yuyu, nikipanga kufanya ishu muhimu ntajivutaaa weee najizungusha weee ila kwenye hii kitu sipotezi hata sekunde, sijarogwa kweli? Nahitaji kubadilika niwe busy na mambo mengine, nifanye nini?
Mtakaonisema, nidhihaki na mengineyo namwachia alie juu.
Alamsik....
Bado addiction inasumbua?
 
Kuna wanaolalamika hawana kabisa hamu na tendo la ndoa sana sana wanaumia badala ya kufurahia. Wewe mshukuru Mungu ila usiingilie mme wa mtu. Ni addiction sawa na pombe au sigara, unatakiwa tu upange mda wako vizuri. Kwa kuwa umejitambulisha wanaume wapo njiani wanakuja mpaka vibamia
 
Mwanamke wa hivi haki ya nani Nikiwa nae "lazima watanigongea"

yani nitagongewa mimi mpk,Mungu aniepushie anipe wakufanana nami...
 
Mara nyingi wanawake waliolazimishwa/ingiliwa kwa nguvu wakati wa utotoni na Wanaume wazima ndo huwa na hayo matatizo, huwa wanakuwa high sex drive, lkn inatibika ni trauma, tafuta clinical psychologist atakusaidia, uwe mkweli na historia ya maisha yako.

Nilishawahi kuwa na demu kama hiyo, baada ya kuona kwamba alikuwa na high sex drive klk kawaida nikaanza kuongea naye pole pole aliponiamini akafunguka na kuniambia kilichomtokea utotoni, inasikitisha sana.
Gosh!
Nakubaliana na wewe kwa hili maana nina solid proof.
Way back nilikuwa na GF ambaye kapitia maisha kama haya ya kuwa na mahusiano na watu wazima tangu angali mdogo, hii inahusisha aliyembikiri.
Kukazia point yako, bidada anapenda ngono ni balaa, she is addictive.
Bahati mbaya zaid sasa hivi kaolewa na anaishi mbali na mumewe, kinachoendelea huko ni shida tu.
 
Back
Top Bottom