MENDE JEURI
Senior Member
- Apr 6, 2011
- 198
- 28
Wapashe walugaluga hawaJK akikaa kimya mnachonga ooh, Rais mpole jana kawatolea uvivu mawaziri na makatibu wakuu mnasema anatumia hela vibaya. Tz isigeuzwe jamhuri ya walalamishi, tukosoe na kutoa mbadala wa kutatua tatizo si kubwabwaja.