Ruhazwe JR
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 3,403
- 920
- Thread starter
- #21
......."hatutaki kuwa na rais ambaye si tu amir jeshi mkuu,lakini anateuwa wakuu wa wilaya,wakuu wa mikoa,mawaziri"......Mhe Tundu A Lisu, akifafanua juu ya kupunguza madaraka ya rais.Lisu alisema Rais anaweza akauza hata nchi na asiulizwe,je kwa nini asiulizwe?yeye si Mungu