Lusajo
JF-Expert Member
- Feb 25, 2008
- 456
- 30
Si kama hao watoto wao wanasoma hapo Bongo na kwenye Public school.Sasa kaka suala la Elimu linaumuimu kuliko kitukingine, ilawatanzania ni wanafik!!!! waki'sikia habari zadini wana andamana lakini mamboyanayohusu hakizao zamsingi wana bweteka!hivi tuta elimika lini? Hivi majuzi wana achia suala la mishahara ya walimu lakini wana jua kabisakuwa huko mashuleni ni watotowao ndio watakao athirika, walimu wanaweka migomobaridi sasa, hivyo tutapata matoto mambumbu tu!