Huyu ndiye tatizo katika nchi ya Tanzania na sio Ngeleja, Mkulo wala Maige

Hujui kama nchi hii inaongozwa kwa kupokezana vijiti? Alianza namba 2, akaja namba 3. Kuna ubaya gani namba 4 akifuata nyao za kaka zake?
 
<quote>alieleza jinsi mkuu wanchi anavyohusika na kusafirisha pembe za ndovu hasa katika mbuga ya ruaha kazi inayosimamiwa na ISSA ASSASI..</quote>

Hapo umenena ukweli mtupu, huyu mjamaa ni bamkwe wa mukulu anazuga kwenye chaka la maziwa lakini anawamaliza tembo wetu,ata ndoa ilipofungwa walispend week nzima ndan ya ruaha. Anatamba nani atamuuliz wakati kashika injii. Af ukimweka na Salvater hapo unafunga esabu wao ndio wanajua kuna tembo wangap ruaha n yup wa kuu ,kawajengea mpka shule wananchi Nyerere sec. Only in TZ.
 
the same old shit contribution, just from the different old shit 'kamanda'.

Lol, post ya May 2012 wewe ndo unakuja kunitolea mimacho leo 2014?! Au ndo msemo wa waingereza unatimia; 'he who laughs last, thinks slowest'? What a great sinker!
 
mmh, kwa maana hiyo, hii nchi wameona ni shamba la Bibi yao, wanachukua wanachotaka wanagawana wao kwa wao, wanampa zawadi ya vitu, mngeni waliyefurahishwa naye, hawafikirii kuwa hii ni nchi, sote tunatakiwa tufaidike, tuijenge, tujijenge, kwa kutumia rasilimali zilizomo, na sio kunufaisha kikundi fulani kidogo cha watu, huku wengi waliobaki wanataabika
 
Rasilimali zilizomo nchini, zitumike kwa manufaa ya nchi kwa ujumla, sio unakuta mfano, eneo fulani la mtu au ardhi ya kijiji fulani imegundulika kuwa na madini fulani, serikali analichukua hilo eneo, ni sawa, ili faida itakayopatina kutokana na madini hayo inufaishe eneo linalozunguka na nchi kwa ujumla, cha ajabu wanagawana wenyewe kwa wenyewe, wanaingia mikataba na wawekezaji wazushi, game zisizoeleweka, yaani maisha wanayoishi Wananchi wengi waliozunguka migodi, haifanani na faida inayotakiwa kupatikana au inayopatikana kwenye migodi, eg. Shinyanga, watu wanakwapua hela zinazotokana na rasilimali za nchini, kujinufaisha wao na familia zao, kuboresha zaidi na zaidi maeneo yao wanayoishi, bila kujali huko vijijini, kuna Wananchi ambao wanatakiwa wanufaike pia na faida zinazotokana na rasilimali zilizomo nchini, kuwe na shule bora(watu mijini now wamebase kwenye shule binafsi kupata ubora wa elimu, za serikali zimesahaulika, haziboresheki, shule sio majengo mazuri ya ghorofa tu, Waalimu wazuri, vitabu, maabara nzuri, ndio kila kitu), hospitali nzuri, barabara nzuri, maji safi na salama, umeme, wawe na kipato cha kujenga nyumba nzuri na imara, walime kwa vifaa bora n.k
 
Hongera kwa uchunguzi sisi kama wana lumumba hapa hatutasema kitu ila kukuonya tu chunga kauli zako oh!!!! Au we ni kibogoyo huna meno au umejidunga ganzi usisikie maumivu ya kung'olewa kucha. Jiangalie!!!
 
mmh, kwa maana hiyo, hii nchi wameona ni shamba la Bibi yao, wanachukua wanachotaka wanagawana wao kwa wao, wanampa zawadi ya vitu, mngeni waliyefurahishwa naye, hawafikirii kuwa hii ni nchi, sote tunatakiwa tufaidike, tuijenge, tujijenge, kwa kutumia rasilimali zilizomo, na sio kunufaisha kikundi fulani kidogo cha watu, huku wengi waliobaki wanataabika
Kitu kimoja kimesumbua akili yangu tangia juzi japo wengu kimazoea tunaona ni sawa tu!
Kwamba TANESCO inaidai serikali na taasisi zake zaidi ya Billion 300 (naomba anayeweza kuweka sawa hizo hesabu).
- Sasa serikali inatumia LUKU au mita za zamani!??
- Mtu wa kawaida umeme ukiisha unakatiwa dakika hiyo hiyo hata kama umekuwa royal kwa miaka 20!
- Katika makusanyo ya kodi kila siku inasemekana 'wanavuka malengo' huku misaada ya kigeni ikiendelea kuongezeka!
- Makampuni kama Symbion, IPTL nk hakuna hata moja linaloidai TANESCO bali yote yanalipwa kwa wakati!
Najiuliza katika mazingira kama haya serikali inasimamia nini!?

 
Naungana na wanajamii wengi kuwa,hata kama issue zako ulizopresent zina ukwel kidogo,i dont think JK is bogus as you think ana washauri hata mambo binafsi,he cannot be that full.Tuachen majungu.Hawa jamaa ni wezi tu wala msimpake matope JK hana sababu yoyote ya kumtumia waziri kuiba tena wizi mdogo mdogo wa mil 600.
Jamaa akiamua kuiba ana uwezo wa kupiga hata 50bil at once na mtu yoyote asielewe.Uongozi ni mgumu hasa kwa misingi iliyoachwa na akina mwinyi na mkapa hawa ndo walioiharibu nchi.
Sometimes ukiwa na kitu kichwani, ni vyema basi ukatumia kitu hicho kichwani kuvaa viatu vya Rais aliyeko madarakani.Je wakati anachukua Nchi hali ya Taifa na hasa mfumo alikuwaje?Tusiangalie Mali za Taifa tu,Tuangalie pia Tabia na Matendo ya Wanataifa ,kuanzia ngazi ya familia mpaka Taifa.

Kwa ujumla tabia zetu watanzania zimekua hatarishi kwa TAIFA na huku kwa ujumla wetu tabia hizi tunaziona kama UJANJA na MAALIFA.Leo hii mtu akipewa madaraka au nafasi kinachotekea akilini kote tunawaza kupiga.Kama normal citizen wanashabikia matendo ya kialifu na ujanja ujanja sembuse matajiri wenye fedha za kumnunua yoyote yule ikibidi kichwa chake.

Mtaani mtu ambae haeleweki katoka wapi ila anamilki mjengo wa ajabu na magari ya kifhari lukuki tunamsifia kwa manen kedekede mara fogo, zungu, don, msure, na kumwalika kwenye shughuri mbalimbali za kijamii na akione namna gani vipi anaomba madaraka na kwa ufinyu wa akili zetu tunampa kesho na kesho kutwa yuko kwenye kiti cha maamuzi, Je hiyo imekaaje katika sura ya kuunda Taifa katika ngazi yoyote ile ya kijamii au kiuchumi au kiutamduni.

Leo utamaduni wetu uwezi kufanyiwa jambo la kijamii kama huduma bila kutoa chochote,tumefika hapo kwa safari baada ya Mwalimu kuona aliyoyafikilia yanawezekana kuwa neema kwa watanzania wote yaliitaji moyo wa mwendawazimu kuyatekeleza, na yeye kwa kuwa conscious akaona hawezi kuwa Mwendawazimu kukabiliana na ujio huo mpya wa siasa na uchumi wa karne ya ishirini na moja akakubali kung'atuka na kupisha wengine.

Kwa kuwa bado hatujajua jinsi ya kugrom viongozi kulingana na nyakati,yani tulipaswa kuwa na mfumo wenye kutizama NYAKATI na kuwa kwa dhama fulani panaitajika viongozi wenye tabia na matendo ya aina fulani ili kukabiliana na hali halisia na kufanya yaliyo bora kwa mujibu wa nyakati husika.

Hivi kweli wakati mwingine ukivalishwa viatu vya Urais unapambanaje na wabaka uchumi waliokomaa, wauza unga wakubwa, matapeli na wasanii wanaoweza kuforge muhuri na signature ya kiongozi wa juu ambae akionyeshwa sign yake iyo iliyopigwa anakili kuwa ni yake kumbe fake.Anapambanaje na watu wenye itikadi za uafrika ilikufanikisha lao na kama uamini kwa ilo bishana na biblia, anapambanaje na watu wenye nguvu za kifedha wenye tabia na matendo ya kihalamia ambao usiku na mchana wanatafuta kila mbinu kuhakikisha sheria na sera zinawafavour wao na biashara zao na familia zao na washirika wao.Rais anapambanaje na watendaji wa umma na jamii kwa ujumla wake ili kuleta TAIFa lenye mafanikio kwa wote.

Binafsi nakili kuna mbinu ambazo hata ningelikuwa mimi ningezifanya kuwa binafsi lakini ndani yake ni kutengeneza kile ambacho kitazaa jema kwa Taifa, lakini mbinu hizo binafsi ni hatarishi pia kwa tafsiri ya umma,manake jsutification zake ni waerevu tu wanaoweza kuzikubali na si normal people,ila kutekeleza hayo lndipo hapo intelligence na smartness vinapopaswa kulala.Kwa kuwa katika level ya Taifa ilipofika ni nadra sana kukuta kiongozi hana gharama,waswahili wanasema tunatofautina gharama na sio kweli hakuna binadamu asiye na gharama za kunulika.

Marehemu JF Kennedy alipotaka kuingia kwenye songo mbingo ya Russia kuhusu visiwa vya CUBA, alitumia juhusi binafsi kuepusha vita ya tatu ya Dunia.Wakati Naional Security committe inamlazimisha kusign tamko la vita yeye anakula chenga na kuplay delay tactic ili aweze kuepusha vita hiyo kubwa ambayo ingeandika historia ya dunia.Na Kwa kushrikiana na Mdogo wake Bobby walifanikiwa kuepusha vita ile na kuithibitishia Dunia ukweli wa sakata zima kwenye kumbi za UN.J magerali wale walifurahi kwa ilo?

Mikakati na mbinu za kudeal na maswala kadha wa kadha ya kitaifa yenye sura za kubadilisha mwenendo, sura, tabia, mazoea, uwajibikaji, utamaduni, yanaitaji akili nyingi sana na busara za hali ya juu sana kwa kuwa gharama zake wakati mwingine uwa ni vifo na maafa.Kwa kuwa kubadili jambo ambalo vichwani mwa watu lina hesabika kuwa ndio utamaduni na kawaida basi uwa ni KUFA NA KUPONA ili kulifanya liwepo.

Ukitaka kujua linaugumu swala la kugeuza jamii toka kwenye kitu ambacho jamii inaona ni sahihi kwenda kwenye utamaduni mpya nna mgeni kwao ebu nenda kwenye makabila ya wakurya, wamasai, wanyaturu na wasomali zungumza kuhusu tohara ya watoto wa kike kuwa unaipiga vita na kuanzia leo mwisho kisha tegemea majibu ya ndiyo tumesikia Mheshimiwa, kesho tu unasikia RILANDI na LITUNGU linasambaa hewani ukiuliza nini hicho wtakwambia ni SARO.

Naamini Werevu, Elimu, haiba, Malezi na kabila ya Kiongozi pia uongeza ushawishi wa mapambano, wakurya akisema NITAKUTEMA MURA anamaanisha hivyo na hata mpewa ujumbe ataupokea hivyo hivyo kuwa hapa kimesanuka.Hivyo jinsi ya kiongozi mkuu kudeal na issue hizo sensitive inategemea pia wenye washauri werevu hao wamemwada kuwa Rais wa Haiba gani kulingana na jinsi walivyompokea.
 
mmh, kwa maana hiyo, hii nchi wameona ni shamba la Bibi yao, wanachukua wanachotaka wanagawana wao kwa wao, wanampa zawadi ya vitu, mngeni waliyefurahishwa naye, hawafikirii kuwa hii ni nchi, sote tunatakiwa tufaidike, tuijenge, tujijenge, kwa kutumia rasilimali zilizomo, na sio kunufaisha kikundi fulani kidogo cha watu, huku wengi waliobaki wanataabika

tumechukua hatua gani kuwaonyesha hao jamaa kuwa nchi ni yetu sote na si wao pekee,au ndio hii ya kulalamika huku tumejificha nyuma ya laptop zetu?watz bwana!tunatisha kama picha ya chui ukutani!
 
Sometimes ukiwa na kitu kichwani, ni vyema basi ukatumia kitu hicho kichwani kuvaa viatu vya Rais aliyeko madarakani.Je wakati anachukua Nchi hali ya Taifa na hasa mfumo alikuwaje?Tusiangalie Mali za Taifa tu,Tuangalie pia Tabia na Matendo ya Wanataifa ,kuanzia ngazi ya familia mpaka Taifa.

Kwa ujumla tabia zetu watanzania zimekua hatarishi kwa TAIFA na huku kwa ujumla wetu tabia hizi tunaziona kama UJANJA na MAALIFA.Leo hii mtu akipewa madaraka au nafasi kinachotekea akilini kote tunawaza kupiga.Kama normal citizen wanashabikia matendo ya kialifu na ujanja ujanja sembuse matajiri wenye fedha za kumnunua yoyote yule ikibidi kichwa chake.

Mtaani mtu ambae haeleweki katoka wapi ila anamilki mjengo wa ajabu na magari ya kifhari lukuki tunamsifia kwa manen kedekede mara fogo, zungu, don, msure, na kumwalika kwenye shughuri mbalimbali za kijamii na akione namna gani vipi anaomba madaraka na kwa ufinyu wa akili zetu tunampa kesho na kesho kutwa yuko kwenye kiti cha maamuzi, Je hiyo imekaaje katika sura ya kuunda Taifa katika ngazi yoyote ile ya kijamii au kiuchumi au kiutamduni.

Leo utamaduni wetu uwezi kufanyiwa jambo la kijamii kama huduma bila kutoa chochote,tumefika hapo kwa safari baada ya Mwalimu kuona aliyoyafikilia yanawezekana kuwa neema kwa watanzania wote yaliitaji moyo wa mwendawazimu kuyatekeleza, na yeye kwa kuwa conscious akaona hawezi kuwa Mwendawazimu kukabiliana na ujio huo mpya wa siasa na uchumi wa karne ya ishirini na moja akakubali kung'atuka na kupisha wengine.

Kwa kuwa bado hatujajua jinsi ya kugrom viongozi kulingana na nyakati,yani tulipaswa kuwa na mfumo wenye kutizama NYAKATI na kuwa kwa dhama fulani panaitajika viongozi wenye tabia na matendo ya aina fulani ili kukabiliana na hali halisia na kufanya yaliyo bora kwa mujibu wa nyakati husika.

Hivi kweli wakati mwingine ukivalishwa viatu vya Urais unapambanaje na wabaka uchumi waliokomaa, wauza unga wakubwa, matapeli na wasanii wanaoweza kuforge muhuri na signature ya kiongozi wa juu ambae akionyeshwa sign yake iyo iliyopigwa anakili kuwa ni yake kumbe fake.Anapambanaje na watu wenye itikadi za uafrika ilikufanikisha lao na kama uamini kwa ilo bishana na biblia, anapambanaje na watu wenye nguvu za kifedha wenye tabia na matendo ya kihalamia ambao usiku na mchana wanatafuta kila mbinu kuhakikisha sheria na sera zinawafavour wao na biashara zao na familia zao na washirika wao.Rais anapambanaje na watendaji wa umma na jamii kwa ujumla wake ili kuleta TAIFa lenye mafanikio kwa wote.

Binafsi nakili kuna mbinu ambazo hata ningelikuwa mimi ningezifanya kuwa binafsi lakini ndani yake ni kutengeneza kile ambacho kitazaa jema kwa Taifa, lakini mbinu hizo binafsi ni hatarishi pia kwa tafsiri ya umma,manake jsutification zake ni waerevu tu wanaoweza kuzikubali na si normal people,ila kutekeleza hayo lndipo hapo intelligence na smartness vinapopaswa kulala.Kwa kuwa katika level ya Taifa ilipofika ni nadra sana kukuta kiongozi hana gharama,waswahili wanasema tunatofautina gharama na sio kweli hakuna binadamu asiye na gharama za kunulika.

Marehemu JF Kennedy alipotaka kuingia kwenye songo mbingo ya Russia kuhusu visiwa vya CUBA, alitumia juhusi binafsi kuepusha vita ya tatu ya Dunia.Wakati Naional Security committe inamlazimisha kusign tamko la vita yeye anakula chenga na kuplay delay tactic ili aweze kuepusha vita hiyo kubwa ambayo ingeandika historia ya dunia.Na Kwa kushrikiana na Mdogo wake Bobby walifanikiwa kuepusha vita ile na kuithibitishia Dunia ukweli wa sakata zima kwenye kumbi za UN.J magerali wale walifurahi kwa ilo?

Mikakati na mbinu za kudeal na maswala kadha wa kadha ya kitaifa yenye sura za kubadilisha mwenendo, sura, tabia, mazoea, uwajibikaji, utamaduni, yanaitaji akili nyingi sana na busara za hali ya juu sana kwa kuwa gharama zake wakati mwingine uwa ni vifo na maafa.Kwa kuwa kubadili jambo ambalo vichwani mwa watu lina hesabika kuwa ndio utamaduni na kawaida basi uwa ni KUFA NA KUPONA ili kulifanya liwepo.

Ukitaka kujua linaugumu swala la kugeuza jamii toka kwenye kitu ambacho jamii inaona ni sahihi kwenda kwenye utamaduni mpya nna mgeni kwao ebu nenda kwenye makabila ya wakurya, wamasai, wanyaturu na wasomali zungumza kuhusu tohara ya watoto wa kike kuwa unaipiga vita na kuanzia leo mwisho kisha tegemea majibu ya ndiyo tumesikia Mheshimiwa, kesho tu unasikia RILANDI na LITUNGU linasambaa hewani ukiuliza nini hicho wtakwambia ni SARO.

Naamini Werevu, Elimu, haiba, Malezi na kabila ya Kiongozi pia uongeza ushawishi wa mapambano, wakurya akisema NITAKUTEMA MURA anamaanisha hivyo na hata mpewa ujumbe ataupokea hivyo hivyo kuwa hapa kimesanuka.Hivyo jinsi ya kiongozi mkuu kudeal na issue hizo sensitive inategemea pia wenye washauri werevu hao wamemwada kuwa Rais wa Haiba gani kulingana na jinsi walivyompokea.

baeleze baeleze baelewe!tukithubutu,tutaweza,tutasonga mbele!
 
Ya nini kumtaka mtu akafuatilie wakati unafahamu fika kwamba inaweza kuwa ngumu kwake kufanya hivyo?! Kama wewe una uhakika na unachokisema, weka hapa huo ukweli unaoufahamu ili wote tuujue! Kumtaka mtu akafuatilie inaonesha basi hata wewe huna uhakika na unachokisema au hauna dhamira ya kweli ya kufichua madudu yanayofanyika nchi hii! Weka hapa huo uozo unaofanyika HSC kwa msaada wa JK!
wewe unaye pinga hili bado hujapevuka mentally
 
Back
Top Bottom