Huyu ndiye Mwenye sifa ya urais upinzani

jadilini sifa msijadili mtu, hili ndilo tatizo la wachangiaji wengi wa jamii forum wanasukumwa na itikadi za vyama vyao na itikadi ya kidini, kwa kuwa Lipumba ni muislam basi unampotezea kwa sababu ya dini yake? huo umbumbumbu katika siasa zetu za Tanzania.
mkigoma. Lipumba siasa haziwezi,arudi ktk taaluma akafundishe uchumi. Ameshindwa kuongoza chama chake tu,itakuaje kwa nchi?
 
Rais wetu lazima awe padre Slaa au siyo?

Nadhani tunagalie historia za hawa watu 2 na walioyafanya kwa jamii walizo ziongoza may be itatupa picha ya nani kiongozi mzuri.

Padree Slaa, alipokuwa katibu wa baraza la maaskofu wa Roman Catholic, mashule mengi na hospitali za mission zilijengwa na kutoa huduma bora sana, wanaosoma na kutibiwa huko ni wa dini zote tena kwa bei nafuu, hadi sasa yeye ndiye kiongozi wa hospitali za CCBRT ambazo kama tutatoa maoni bila kuwa na chuki za kidini au kisiasa na hata kikanda, ni hospitali zilizo jizolea ummarufu na sifa kwa wagonjwa, akiwa katibu mkuu wa Chadema, chama kimekuwa kikiitesa ccm sana hata wanakosa usingizi kwa ajili ya mtu huyu, hahongeki kama wana siasa wengine.

Prof Lipumba; huyu amewahi kuwa mshauri wa uchumi wa rais wa awamu ya pili, mzee ruksa, ndiye aliye mshauri rais kufungua mipaka ya nchi ili bidhaa ziweze kuingia nchini bila udhibiti, matokeo yake ni kuwa wananchi hutukupata sana tabu ya kupata bidhaa muhimu kama sabuni nguo sukari TV n.k, kama mchumi alisahau kumshauri pia rais kuwa na control ya uingizaji wa bidhaa bila kuangalia umuhimu, hii ni moja kati ya sababu zilizo sababisha viwanda vingi vya ndani kufa, kwa level ya profesa wa uchumi kwangu mimi hili ni doa kubwa, katika Siasa, chama chake kimeendelea kuporomoka kidemokrasia na hata nidhamu, lakini inaonekana mara zote mara baada ya uchaguzi wa rais amekuwa akikimbia nchini na kukiacha chama chake kiwe Auto pilot, mwaka 1995 uchuguzi ulipokwisha alikwenda Uganda kwa M7, 2000 alikimbilia Marekani sawa 2005 and 2010, sioni tofauti yake na Kikwete kwa umakini, kitendo chake cha kukaa kimya juu ya kauri za bwana Jusa juu ya udini na ubara nacho kinanipa mashaka makubwa akiwa rais, kama ameshindwa kumkemea kiongozi wa ngazi ya chini kama Jusa akiwa rais si itakuwa kama Kikwete tu?

Binafsi, ningependa Prof Lipumba arudi chuo akawatengeneze wasomi huko, alipokuwa Mlimani matunda yake tuliyaona, inasemekana walisoma na ****** mwaka 1, huyu prof alikuwa akimpa sana compan raisi wenu, sio kila msomi mzuri anaweza kuwa kiongozi mzuri, mchukue mtu kama Dr Bana wa REDET, akiongea unajiuliza mara 2, hivi huyu ni Dr wa ukweli au wa heshima?
 
Rais wetu lazima awe padre Slaa au siyo?
Ndugu. Hakuna mtu anaitwa Padre Slaa nadhani unataka kusema DR Wilbroad Slaa Peter. Kama ni hivyo Pigia Mstari, kuna chaguzi nyingi sana zinafuata baadae tutachaguwa wengine, kuna 2020, 2025, 2030. Ni sisi tu.
 
Nadhani tunagalie historia za hawa watu 2 na walioyafanya kwa jamii walizo ziongoza may be itatupa picha ya nani kiongozi mzuri.

Padree Slaa, alipokuwa katibu wa baraza la maaskofu wa Roman Catholic, mashule mengi na hospitali za mission zilijengwa na kutoa huduma bora sana, wanaosoma na kutibiwa huko ni wa dini zote tena kwa bei nafuu, hadi sasa yeye ndiye kiongozi wa hospitali za CCBRT ambazo kama tutatoa maoni bila kuwa na chuki za kidini au kisiasa na hata kikanda, ni hospitali zilizo jizolea ummarufu na sifa kwa wagonjwa, akiwa katibu mkuu wa Chadema, chama kimekuwa kikiitesa ccm sana hata wanakosa usingizi kwa ajili ya mtu huyu, hahongeki kama wana siasa wengine.

Prof Lipumba; huyu amewahi kuwa mshauri wa uchumi wa rais wa awamu ya pili, mzee ruksa, ndiye aliye mshauri rais kufungua mipaka ya nchi ili bidhaa ziweze kuingia nchini bila udhibiti, matokeo yake ni kuwa wananchi hutukupata sana tabu ya kupata bidhaa muhimu kama sabuni nguo sukari TV n.k, kama mchumi alisahau kumshauri pia rais kuwa na control ya uingizaji wa bidhaa bila kuangalia umuhimu, hii ni moja kati ya sababu zilizo sababisha viwanda vingi vya ndani kufa, kwa level ya profesa wa uchumi kwangu mimi hili ni doa kubwa, katika Siasa, chama chake kimeendelea kuporomoka kidemokrasia na hata nidhamu, lakini inaonekana mara zote mara baada ya uchaguzi wa rais amekuwa akikimbia nchini na kukiacha chama chake kiwe Auto pilot, mwaka 1995 uchuguzi ulipokwisha alikwenda Uganda kwa M7, 2000 alikimbilia Marekani sawa 2005 and 2010, sioni tofauti yake na Kikwete kwa umakini, kitendo chake cha kukaa kimya juu ya kauri za bwana Jusa juu ya udini na ubara nacho kinanipa mashaka makubwa akiwa rais, kama ameshindwa kumkemea kiongozi wa ngazi ya chini kama Jusa akiwa rais si itakuwa kama Kikwete tu?

Binafsi, ningependa Prof Lipumba arudi chuo akawatengeneze wasomi huko, alipokuwa Mlimani matunda yake tuliyaona, inasemekana walisoma na ****** mwaka 1, huyu prof alikuwa akimpa sana compan raisi wenu, sio kila msomi mzuri anaweza kuwa kiongozi mzuri, mchukue mtu kama Dr Bana wa REDET, akiongea unajiuliza mara 2, hivi huyu ni Dr wa ukweli au wa heshima?

Uchambuzi wako si sawa..shule za kanisa kwani shule za kanisa zimejengwa kwa kuchukua hela za umma through MoU unaudited, akichaguliwa slaa ataendeleza shule za kanisa na kutuibia Taifa kwa faida ya kanisa kitu ambacho kitazidi kuleta mgawanyiko katika jamii..Slaa elimu yake ni mgogoro sana namshauri arudi kwenye kuta za kanisa akaendeleza kazi hiyo anautaalamu nayo sana..

Kuhusu Lipumba anafaa sana kwasababu ushauri wake katika masuala ya uchumi si kwamba ulizingatiwa vema na Mwinyi, sasa anataka kutumia utaalamu wake kuwasaidia wananchi wa Tanzani siyo kama mshauri bali kama mtekelezaji kwani, wanaopewa ushauri mara nyingi hawazingitii..kuhusu chama chake mbona alishatoa ufafanuzi kuwa hiyo kuwafukuza HR ni uamuzi mdogo tu..embu niambie CUF imepata loss gani tangu waondoke hao mamluki?

Prof. Ibrahimu Haruna Lipumba for Presidency
 
Nadhani tunagalie historia za hawa watu 2 na walioyafanya kwa jamii walizo ziongoza may be itatupa picha ya nani kiongozi mzuri.

Padree Slaa, alipokuwa katibu wa baraza la maaskofu wa Roman Catholic, mashule mengi na hospitali za mission zilijengwa na kutoa huduma bora sana, wanaosoma na kutibiwa huko ni wa dini zote tena kwa bei nafuu, hadi sasa yeye ndiye kiongozi wa hospitali za CCBRT ambazo kama tutatoa maoni bila kuwa na chuki za kidini au kisiasa na hata kikanda, ni hospitali zilizo jizolea ummarufu na sifa kwa wagonjwa, akiwa katibu mkuu wa Chadema, chama kimekuwa kikiitesa ccm sana hata wanakosa usingizi kwa ajili ya mtu huyu, hahongeki kama wana siasa wengine.

Prof Lipumba; huyu amewahi kuwa mshauri wa uchumi wa rais wa awamu ya pili, mzee ruksa, ndiye aliye mshauri rais kufungua mipaka ya nchi ili bidhaa ziweze kuingia nchini bila udhibiti, matokeo yake ni kuwa wananchi hutukupata sana tabu ya kupata bidhaa muhimu kama sabuni nguo sukari TV n.k, kama mchumi alisahau kumshauri pia rais kuwa na control ya uingizaji wa bidhaa bila kuangalia umuhimu, hii ni moja kati ya sababu zilizo sababisha viwanda vingi vya ndani kufa, kwa level ya profesa wa uchumi kwangu mimi hili ni doa kubwa, katika Siasa, chama chake kimeendelea kuporomoka kidemokrasia na hata nidhamu, lakini inaonekana mara zote mara baada ya uchaguzi wa rais amekuwa akikimbia nchini na kukiacha chama chake kiwe Auto pilot, mwaka 1995 uchuguzi ulipokwisha alikwenda Uganda kwa M7, 2000 alikimbilia Marekani sawa 2005 and 2010, sioni tofauti yake na Kikwete kwa umakini, kitendo chake cha kukaa kimya juu ya kauri za bwana Jusa juu ya udini na ubara nacho kinanipa mashaka makubwa akiwa rais, kama ameshindwa kumkemea kiongozi wa ngazi ya chini kama Jusa akiwa rais si itakuwa kama Kikwete tu?

Binafsi, ningependa Prof Lipumba arudi chuo akawatengeneze wasomi huko, alipokuwa Mlimani matunda yake tuliyaona, inasemekana walisoma na ****** mwaka 1, huyu prof alikuwa akimpa sana compan raisi wenu, sio kila msomi mzuri anaweza kuwa kiongozi mzuri, mchukue mtu kama Dr Bana wa REDET, akiongea unajiuliza mara 2, hivi huyu ni Dr wa ukweli au wa heshima?
Mkuu wangu tafadhali, jaribu kujua siasa ni kitu gani kisha changia ukielewa unachokisema kitatafsirika vipi. Ulichoandika kinaonyesha Dr.Slaa interest zake, tunapambana na ufisadi iwe hata ktk elimu na kadhalika IPTL wanatuibia japokuwa wana serve watu wote.. na mbona hatukumpa Lowassa Richmond wakati ingeweza ku serve watanzania wote?.

Tunachompendea Dr.Slaa sio kazi zake za kanisa au kupitia vyombo vya kanisa bali chama chake Chadema kama kiongozi na sera za chama. Uwezo wake tunaupata ktk uwakilishi wake wa Ubunge na kadhalika na hata siku moja hajatumia vigezo vya kanisa kuomba ridhaa ya wananchi, usituletee kabisa habari za utumishi wa Mama Theresa kama sifa ya Urais...
 
sio kila anayegombea urais ana sifa kuna wengine wanatafuta kuweka kumbukumbu katika maisha na wengine ni kuleta vurugu nawaomba wanainchi tuwe macho vinginevyo tutakuja kulia na kusaga meno kwa kufuata ushabiki wa vyama, na kusukumwa na utashi wa kiimani katika kumchagua kiongozi wa nchi yetu, lakini mgombea mwenye sif upande wa upinzani ni mmoja naye ni Prof Lipumba, wengine ni mavuvuzela.
prof lipumba tuu?hapanawako wengi sana wenye sifa na uwezo wa kuongoza nchi hii.
 
Uchambuzi wako si sawa..shule za kanisa kwani shule za kanisa zimejengwa kwa kuchukua hela za umma through MoU unaudited, akichaguliwa slaa ataendeleza shule za kanisa na kutuibia Taifa kwa faida ya kanisa kitu ambacho kitazidi kuleta mgawanyiko katika jamii..Slaa elimu yake ni mgogoro sana namshauri arudi kwenye kuta za kanisa akaendeleza kazi hiyo anautaalamu nayo sana..

Kuhusu Lipumba anafaa sana kwasababu ushauri wake katika masuala ya uchumi si kwamba ulizingatiwa vema na Mwinyi, sasa anataka kutumia utaalamu wake kuwasaidia wananchi wa Tanzani siyo kama mshauri bali kama mtekelezaji kwani, wanaopewa ushauri mara nyingi hawazingitii..kuhusu chama chake mbona alishatoa ufafanuzi kuwa hiyo kuwafukuza HR ni uamuzi mdogo tu..embu niambie CUF imepata loss gani tangu waondoke hao mamluki?

Prof. Ibrahimu Haruna Lipumba for Presidency
Unafki ni kitu kibaya sana, sasa kati ya Mbowe na Lipumba unataka nani awe Rais wako? maana umegeuka kama malaya sasa hujui hata unalolisema!!...
 
Unafki ni kitu kibaya sana, sasa kati ya Mbowe na Lipumba unataka nani awe Rais wako? maana umegeuka kama malaya sasa hujui hata unalolisema!!...

Cool down hii ni JF huna haja ya kutukana kwani unaonyesha upumbavu wako

Ikiwa ni kati ya Slaa na Mbowe -Nitamchagua Mbowe

Ikiwa ni kati ya Lipumba, Mbowe na Slaa - Nitamchagua Lipumba..

Mambo madogo tu huelewi..wewe una hasira na mimi lakini najua sababu (chuki) zako zinatokanana na nini kwa hiyo hunisumbui pole mkuu.. Padre hawezi kuwa rais wa taifa (on my dead body)
 
Cool down hii ni JF huna haja ya kutukana kwani unaonyesha upumbavu wako

Ikiwa ni kati ya Slaa na Mbowe -Nitamchagua Mbowe

Ikiwa ni kati ya Lipumba, Mbowe na Slaa - Nitamchagua Lipumba..

Mambo madogo tu huelewi..wewe una hasira na mimi lakini najua sababu (chuki) zako zinatokanana na nini kwa hiyo hunisumbui pole mkuu.. Padre hawezi kuwa rais wa taifa (on my dead body)
Lipumba anafaa kuongoza makongamano ya Uchumi duniani aendelee kujaza vyeti kwenye kabati lake. Lakini kwenye URAIS wa JMT hafai hata kidogo.
Labda akawe rais wa BAKWATA
 
Unafki ni kitu kibaya sana, sasa kati ya Mbowe na Lipumba unataka nani awe Rais wako? maana umegeuka kama malaya sasa hujui hata unalolisema!!...
Atamchagua Lipumba ili afute seminari za wakristo na vyuo vya wakristo wakabidhiwe Bakwata
 
sio kila anayegombea urais ana sifa kuna wengine wanatafuta kuweka kumbukumbu katika maisha na wengine ni kuleta vurugu nawaomba wanainchi tuwe macho vinginevyo tutakuja kulia na kusaga meno kwa kufuata ushabiki wa vyama, na kusukumwa na utashi wa kiimani katika kumchagua kiongozi wa nchi yetu, lakini mgombea mwenye sif upande wa upinzani ni mmoja naye ni Prof Lipumba, wengine ni mavuvuzela.

Usituletee vitu ambavyo havina utafiti hapa. Ni lazima utuonyeshe vigezo ulivyotumia halafu tujue kama hao wengine hawafikii vigezo hivyo. Vinginevyo inawezekana umeangalia unyamwezi wake kama sifa muhimu, au kutojaaliwa watoto. Kama ni sifa hizo basi nakubaliana na wewe, vinginevyo, mahaba yako yapeleke huko Buguruni.
 
Uchambuzi wako si sawa..shule za kanisa kwani shule za kanisa zimejengwa kwa kuchukua hela za umma through MoU unaudited, akichaguliwa slaa ataendeleza shule za kanisa na kutuibia Taifa kwa faida ya kanisa kitu ambacho kitazidi kuleta mgawanyiko katika jamii..Slaa elimu yake ni mgogoro sana namshauri arudi kwenye kuta za kanisa akaendeleza kazi hiyo anautaalamu nayo sana..

Kuhusu Lipumba anafaa sana kwasababu ushauri wake katika masuala ya uchumi si kwamba ulizingatiwa vema na Mwinyi, sasa anataka kutumia utaalamu wake kuwasaidia wananchi wa Tanzani siyo kama mshauri bali kama mtekelezaji kwani, wanaopewa ushauri mara nyingi hawazingitii..kuhusu chama chake mbona alishatoa ufafanuzi kuwa hiyo kuwafukuza HR ni uamuzi mdogo tu..embu niambie CUF imepata loss gani tangu waondoke hao mamluki?

Prof. Ibrahimu Haruna Lipumba for Presidency

Ndugu yangu, ninahisi unatoa mchango ukiangalia mtu kwa kufuata dini yako, hebu nambie, Lipumba amewahi kufanya nini ambacho ni productive popote zaidi ya uwalimu pale mlimani? Kuhusu hizo shule unazosema ni za dini (kitu ambacho ni kweli) je wanaosoma huko ni watu wa wapi? Lipumba angekuwa mchumi mzuri na anaye ipenda dini yake angetoa ushauri kwa taasisi ya kiisalm ili iweze kuendesha baadhi ya shule zenu? Ukisema dini ndiyo inayo pata faida (nafikiri ulimaanisha kiuchumi) well, hivi chuo kikuu ya morogor ambacho ni cha kiislam na kile pewa kila kitu na serikali bila hata Shilling moja, faida inaendaga wapi? na je? mwanao akichaguliwa kwenda kwenye chuo hicho, utafurahi?

Bila ushabiki tena wa kichama, kidini au kikanda kama Bwana Mazindu alivyosema, ni ukweli usiojificha, kielimu viongozi wengi wa dini ya Kiislam sio wasomi wa elimu hii ya duniani hivyo hata uelewa wao wa mambo yanayo endelea nashawishika kusema ni mdogo, watu kama kina Lipumba wangeshauri hayo huko. Kama Dr Slaa angekuwa sio msomi, nafikiri ile list yake ya mafisadi wakubwa aliyo isoma pale Mwembe Yanga, akina Karamagi na Mkono wangemshitaki kirahisi sana, lakini kwakua Dr aliandika kisomi walishindwa kumshitaki? Nyie mnao toaga maoni mkizingatia dini ya mtu siku mkiwa viongozi mtauza nchi au mtashindwa kufanya maamuzi kama aliye kosea ni wa dini yako, chukua mfano wa Kikwete na shukuru Kawambwa, jamaa ana under perfom kweli (of course wapo wakristo wengi tu wanao underperfom) lakini mzee bado anamkumbatia tu, mwisho ni hivi, Hivi hizi dini zenu huwa zinafundisha nini juu ya dhambi? kiongozi kama anafanya mambo yanayo angamiaza taifa, nafikiri hiyo nayo haimpendezi Mungu, sasa kama dini itamtetea nitaanza kuwa na mashaka na hiyo dini kama ni ya Mungu.
 
Mkuu wangu tafadhali, jaribu kujua siasa ni kitu gani kisha changia ukielewa unachokisema kitatafsirika vipi. Ulichoandika kinaonyesha Dr.Slaa interest zake, tunapambana na ufisadi iwe hata ktk elimu na kadhalika IPTL wanatuibia japokuwa wana serve watu wote.. na mbona hatukumpa Lowassa Richmond kama wakati ingeweza ku serve watanzania wote.

Tunachompendea Dr.Slaa sio kazi zake za kanisa au kupitia vyombo vya kanisa bali chama chake Chadema kama kiongozi na sera za chama. Uwezo wake tunaupata ktk uwakilishi wake wa Ubunge na kadhalika na hata siku moja hajatumia vigezo hivyo kuomba ridhaa ya wananchi, usituletee kabisa habari za utumishi wa Mama Theresa kama sifa ya Urais...

Nimekuelewa mkuu, lengo langu ilikuwa sio kusifia kazi za Kanisa alizo zifanya bali kuonesha huyu mtu alipo kuwa sehemu fulani aliwahi kufanya nini Re-markable, na hii ndo itakayo kuonesha mtu huyu au yule anaweza nini, ndio maana huwa tunaulizwa habari ya CV.
 
Back
Top Bottom