huyu ndiye mhe LEMA JE ANAFAA KUWA KIONGOZI?

Acha story zako za kufikirika... ooh cdm nao watakuwa hvi.. mmeshafisadi vya kutosha na hiyo ipo wazi... na mjue 2015 ama zenu ama ze2... ongeleeni mambo ya msingi yenye manufaa kwa uma.. kama ondokeni 2 siyo lazima uwe humu jukwaa zpo kibao.
Mkuu hivi ulishawahi kuambiwa kuwa hoja huwa inajibiwa na hoja na si hot air?
 
niliposikia ccm imetia maguu JF kwa kasi, nilisita kukubari au kukataa,now the option is very clear kila mtu mdadadis wa mambo na mwenye kuchambua kipi ni kipi kati ya factual matter or matter of pure opinion.am i made my self clear?

Jichunguze Join date yako mkuu,kwa taarifa yako tulikuwepo hapa kubomoa mafisadi kabla hujaota meno.
 
ukifuatilia historia yake utakuta alikuwa jambazi, matajiri wa arusha sina hamu nao!

Wewe ni mwananchi dhaifu kimaadili, kwanini hukutoa taarifa wakati wa ujambazi ili akamatwe. Hata leo hii peleka ushahidi wako kwenye vyombo vya sheria Mkuu. Leo asingelikuwa Mbunge kama ungetekeleza wajibu wako wa kuwa raia mwema wa Taifa letu. La sivyo sasa tunaamini kuna mahali amewakalia baadhi ya watu kooni.
 
ndugu zangu ktk jambo ninaloshukuru ktk maisha yangu ni kutokuwahi kuwa CCM, siko zote ktk kipindi hiki kifupi nichobakisha ktk maisha YANGU namuomba Mungu anipe umri nitakaoweza kushuhudia anguko la CCM.Tangu zilipoanza siasa za vyama vingi nilikuwa natamani WATANGANYIKA tuwe kama WAZANZIBAR ndugu zetu wa visiwani walinifurahisha sana zilipoanza SIASA ZA VYAMA VINGI walifunguka mapema na kuona ni wakati muafaka wa KUIANGUSHA CCM japo mpaka leo wameshindwa kutokana na WIZI WA CCM. JAPO HIVI SASA NAFURAHI WATANGANYIKA TUMEAMKA ZAIDI YA WAZANZIBAR NA NAAMINI 2015 CCM WATAKUWA CHAMA KIKUU CHA UPINZANI.NA CHADEMA KITAKUWA CHAMA TAWALA.

Lakini ndugu nimekuwa nikiwafuatilia kwa karibu sana MAWAZIRI wetu watarajiwa kwenye SERIKALI MPYA ya CHADEMA hapo 2015 lakini huyu WAZIRI WETU mtarajiwa wa MAMBO YA NDANI mheshimiwa LEMA nahisi ana walakini. kwangu kiongozi shupavu ni yule;

1: mwenye hekima
2:mwenye busara
3:mwenye kufikiria kabla ya kuzungumza au kutenda
4: na jasiri
ninaposema kiongozi jasiri simaanishi yule ambaye yuko tayari kupigana wakati wowote au kutukana wakati wowote kwangu mimi kiongozi JASIRI ni yule ambaye ana uwezo wa kudhibiti HASIRA ZAKE.
5: mwenye kuona mbali
6:mwenye kuwaheshimu viongozi wenzake
7:asiye na majivuno ya kuona yy pekee ndio mwenye uchungu wa nchi hii

ktk sifa zote nilizoorozesha hapo kwangu mimi nahisi na naamini ndio kiongozi bora anatakiwa kuwa nazo lkn nina hofu itakuwaje siku mhe LEMA AKIWA NDIO RAIS WA NCHI HII AU WAZIRI MKUU WA NCHII AU WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA NCHI HII AU WAZIRI WA ULINZI WA NCHIIA ETC
ndugu zangu nina mashaka nae na ikiwa kama raia mwema na mpiganaji wa jeshi la wanyonge wa nchi wenye kutaka maendeleo kwa njia ya AMANI nahisi mhe LEMA inabidi apunguze HASIRA, JAZBA, KUJIFANYA YYE PEKEE MWENYE UCHUNGU, PIA AWE MWENYE KUFIKIRIA KABLA HAJAONGEA AU AJITAHIDI KUUSHIRIKISHA UBONGO WAKE KTK MAAMUZI YAKE IKIWA HASWA YY NI KIONGOZI PIA NI KIOO CHA JAMII.
mheshimiwa LEMA amekuwa mara kwa mara akitaka kutumia MABAVU au amekuwa akiwashutumu au kutumia lugha mbovu dhidi ya viongozi wenzake especially kwA MHE ZITTO. NA HIVI KARIBUNI AMEKARIRIWA AKISEMA MILANGO IFUNGWE ILI WABUNGE WAPIGANE HII NI KUONYESHA LEMA SIO JASIRI, HANA HEKiMA, HANA UVUMILIVU. NAOGOPA SANA AKIWA YY NI RAISI ANAWEZA KUTUUINGIZA KTK MIGOGORO MINGI DUNIANI ,
mheshimiwa ajue siasa si uwanja wa FUJO siasa tunaka hoja na kuvumilana. na sio saa zote kuwashutumu wenzake kuwa ni wanatumiwa na kama ana ushahidi autoe ili wachukuliwe hatua stahiki sio kuleta shutuma zisizokuwa na msingi na umaarufu anaotaka wa fujo utamtokea puani. nadhani mhe LEMA utaisoma habari na utanielewa. mimi ni mfuasi mahiri wa CHADEMA NA NIMESHINDWA UVUMILIVU WA HIZI KAULI ZAKO. IKIWA KUNA POPOTE NIMEKOSEA UTANISAMEHE USIJE UKASEMA UTANITAFUTA ILI UNIPIGE KAMA ULIVYOTAKA KUWAPIGA WABUNGE WA CCM BUNGENI.

Comment nzuri sana hasa ukiipost kwenye gazeti la uhuru. Vp umeona jambo uliloona wewe ni hatari ni hilo la kusema fungeni milango 2pigane basi. Kama waweza jaribu kufuatili mabilioni ya walipa kodi yanayotoka na nchi ikizidi kuwa masikini. Unafikiri kama c kutokea vurugu na kauli za kudhalilishana ungesiki kauli ya funga milango tupigane? Funga milango 2pigane limewakosesha wanafunzi wangapi madawati? 2pambane kwa ajili ye2 na future. Watoto wanaenda mashuleni na kurudi manyumbani bila kusoma, eti kwa7bu tu ya uchache wa waalimu. Lema anajua alitereza wapi na afanye nini next time.
 
We're all exhausted With chama cha magamba bt as we look forward to take the country as leaders inabidi tu take time kuwasoma some of our expected leaders kama lema, huyu bwana anahitaji tuition kali sana 4m slaz and company...!! Halafu bado memory ya 2005 inanihunt saana caz im still blv chama cha magamba walimchakachua akagawa ushindi wa mezani.....!!! Anyways aluta continua...:israel:
 
safi lema anavyo fanya wasipokuwa wakali cdm inaweza ingiliwa na vichaa na wahujumu
 
Mwanaone!
Nafurahi kwamba kama ulivyojimbulisha wewe ni mpenda mabadiliko katika nchi hii yetu, nafurahi sana kujua tupo wengi.
Kwa kwenda moja kwa moja kwenye hoja, uongozi wa jamii husika ni dhana pana sana.... Hata waandishi wa vitabu vya masuala ya UONGOZI bado wana-urgue kuhusiana na sifa muafaka za kiongozi bora, sababu ya mambo kama mazingira husika, utamaduni wa jamii husika, utata wa tabia za binadamu (waongozwaji na muongozaji), mda na mambo mengine mengi tu.
Pamoja na yote hayo, ila inaeleweka wazi na imethibitika kutokea kwenye mifano ya tawala za kidunia kuwa KIONGOZI BORA ni lazima awe na MAONO na NAMNA YA KUWAFIKISHA (JAMII HUSIKA) KWENYE HAYO MAONO, niishie hapo!

Kwa muda mrefu nchi zetu hasa za kiafrika zimekuwa zikiendeshwa katika namna kama "unavyotamani" Lema (ambavyo Lema amekosa kwa maoni yako) awe na..... "heshima","busara", "unyenyekevu", "hekima" nk nk bila kusahau "demokrasia" kama tunavyoelekezwa na "wakubwa wa dunia"...... Lakini bado nchi zetu zipo kama zilivyo, niishie hapo!

Kuna umuhimu wa kujielewa kama taifa,tupo kwenye hatua gani ya maendeleo ukiringanisha na ulimwengu ulipo. Tokea hapo tunaweza kupanga tunahitaji uongozi wa namna gani.
Mi naamini, katika hatua ambayo tupo tunahitaji mabadiliko kwanzia ya uongozi na falsafa ya namna ya kuongozwa!
Kwa mantiki hii, huwezi ukajiita mtakamabadiliko huku ukiendelea kutarajia kuongozwa kwa mfumo uleule, hata historia ya dunia inatuonyesha kila nchi ilibadili namna ya uongozi kulingana na mabadiliko na mahitaji ya msingi ya wakati.
Leo hii itakuwa ni ujuha kutamani Tz itawaliwe kama Marekani, sababu zipo wazi kuna tofauti kubwa sana za kichangamoto na vipaumbele.

Sio kwamba nasema Lema yupo mkamilifu, ila kuna vitu naviona kwa Lema (sijui kama na yeye anajiona navyo), nahisi kama tunajadili kui-move hii nchi toka hapa ili kuingia hatua nyingine juu ya maendeleo, tunahitaji vitu hivyo japo kwa kiasi fulani viwepo kwa viongozi wetu.
Hamna nchi iliyopiga hatua kuu za kimabadiliko chanya kwa kupitia viongozi wanaopeleka mambo kwa mazoea, lazima kuwepo na kiongozi ambaye sio wa kawaida na anafanya mambo ambayo sio ya kawaida katika jamii yake na katika jamii ya kimataifa.
Mfano Paul Kagame wa Rwanda, wakati wazungu na wapuuzi wengine wanampigia kelele kwa kuminya uhuru wa vyombo vya habari, haki za binadamu na kuminya demokrasia.... hatua inazopiga Rwanda sie Tanzania tunatoa macho tu!

Yaliyotokea bungeni "funga mlango, tupigane" kwa mtu mfuatiliaji wasiasa makini toka kwenye mataifa makini amabayo yamechachamaa kwa maendeleo, ni mambo ya kawaida sana kwenye mabunge, hata Kenya ishawahi kutokea mara kadhaa. Tena wenzetu wanafika mbali sana sio kufunga mlango tu kwa kauli, bali zinapigwa kweli....... haiwezekani mambo ya msingi ya umma watu wanakufa (kwa njaa na manyanyaso mengine) afu waziri anajibu utumbo afu spika anafunika kombe afu bunge zima litulie tu, hii ndio nini? ndio siasa za kistaarabu hizo?
Kama unatamani Tz iendelee kuwa hivi, nakushauri uachane na fikra zako za kutamani mabadiliko!

Mabadiliko sio kitu rahisi kama wengi tunavyofikiria, ndio ilipatwa kunenwa kama sijakosea "mabadiliko ni uasi".
Hicho kinachoitwa siasa za kistaarabu ni unafiki, kuogopana na kulindana na tumekuwa nazo kwa miaka 50 sasa, lakini kama leo anapatikana mtu anaweza kumwambia mwenzie ambaye wapo kwenye harakati za pamoja kuwa "wewe ni unatumiwa kutuhujumu, jitoe tuendelee na harakati za ukombozi wa nchi yetu"... unatarajia mtu huyo atamshughulikia kwa kiasi gani mtu ambaye hamjui na ni muhujumu wa nchi?
Huu ndio uasi tunaoutamani kwenye siasa zetu.
Kupiga hatua moja kuelekea "ULIMWENGU WA PILI" tunahitaji watu ambao wataendesha siasa za nchi kwa maslahi ya taifa lakini katika namna ambayo hatujazoea kabisa.
 
sisi wanachadema na viongozi wake tunatembea kifua mbele kwa msimamo na mwenendo wa lema na tunaona anatuwakilisha vizuri sana. Vijana wa rika la lema, halima, mnyika wote safi. Wanawakilisha matakwa yetu vizuri na hawajavunja kanuni yo yote ya chadema wala serikali. Ndo maana jumapili baraza kuu jumapili iliyopita liliwapongeza wabunge wote akiwepo lema. Wewe una maoni gani kuhusu hilo?
 
Naungana na mtoa hoja. Kwangu binafsi Lema ni muhuni mmoja wala hilo halina ubishi na halihitaji tiba ya Babu wa Loliondo kuliona hilo. Sijawahi wala sitegemei kushabikia pumba zake.
 
Pambaffffffffffffff!
Watu wa dizaini ya Lema ndio wanaohitajika kwenye Bunge la sasa la mazuzu wanaounga mkono kila hoja, na spika aliyenunuliwa!
Hapo nimekuelewa ndugu, 2mechoshwa na bunge la "wanafiki waseme ndiooo!...ndiooo!" hawa mafisadi na mama yao pale mbele wanapenda sana kutuburuza, hata kwenye soka inatokea refa bila kumtia jambajamba hatendi haki, japo hatumpigi! Bravo lema!
 
Back
Top Bottom