Hakuna haja ya kusubiria Michu abandike pic yako,weka sasa hivi tujadili,kama wewe ni mrefu au ni mfupi...
Keshasahau kwamba John Mashaka ni Celebrity wa Michuzi Blog.......Kosa ni kuweka picha yake? Si sawa na tunavyo ona picha za watu wengine tu. If there is something to discuss about me sawa. Au kuweka picha yake ndiyo kumchambua? Sorry if I touched a nerve.
Hakuna haja ya kusubiria Michu abandike pic yako,weka sasa hivi tujadili,kama wewe ni mrefu au ni mfupi...
labda ndio huyo mwenye skafu ya baridi....wtf wabongo bana.....sasa ona lijitu kama hilo lingine skafu na hili joto....copy from majuu hii....
Weka tukuthaminishe aiseeWakuu,
Ngoja niweke picha yangu na mimi mnijadili kidogo,maana na waona ni wachambuzi wa zuri sana.
Mijitu hio ipo mingi mjini ndio fashion siku hizi.....li skafu na makoti unakuta jamaa anatokwa na jasho kisa fashion.....Kwakwakwaaaa...unajua nilikuwa sijaangalia vizuri...hiyo njemba sijui ilikuwa inafikiria nini? Skafu ya nini bongo..? Lol
Josm tutolee picha yako hapo.......au mbinu za ili thread ifungwe?
Josm=John S.Mashaka??????????,maana anavyomsemea huyo mashaka mpaka basiJosm tutolee picha yako hapo.......au mbinu za ili thread ifungwe?
bwa ha ha ha ha umedataTeh teh...Labda ndo huyo mwenye kofia na mtandio shingoni na viatu vya ngozi ya chatu...
Kilicho bakia hapa ni kuwavalisha Khanga tu.Josm=John S.Masha??????????,maana anavyomsemea huyo mashaka mpaka basi
Kilicho bakia hapa ni kuwavalisha Khanga tu.
Ila mashori wanamzimia kichizi kudadadeki......
bwa ha ha ha ha aiseee noti zake mwazionaje? unajua nyie bana ule ung'eng'e wake wa Wall street ya NC unawazinguahapendwi mtu ila pochi!mashori wanamzimikia coz of ATM
Sio kosa lake mkuu...........,msamehe bureHahaha, naona jamaa anaanza matusi ya reja reja..vipi waungwana wamescratch surface nini?
Wale wale.....................This thread sucks,,,,it's personal it's worthless,,,,
We are all Tanzanians,after all in average Tanzanians are short,so what?
Mwachieni mwenzenu apumzike,This is no difference to UFISADI,because UFISADI=SELFISHNESS,That's what's this thread is all about!