Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 7,204
- 10,951
Suali hilo limenijia baada ya mkuu wa majeshi mstaafu, Captain Mabeyo aweke wazi hali ilivyokuwa kabla na baada ya kifo cha raisi wa awamu ya 5, John Pombe Magufuli.
Sehemu iliyonipa hisia ni pale ambapo Serikali kupitia vyombo vya usalama viliona visitangaze kifo chake kabla ya familia yake kupelekewa taarifa hiyo ya huzuni.
Sehemu ya pili ni pale kiongozi anapoumwa sana kiasi ya familia kukata tamaa au kuwa na mashaka ya matibabu yake.
Je, wanaweza kumzuia mtu wao asiende kwenye matibabu?
Sehemu iliyonipa hisia ni pale ambapo Serikali kupitia vyombo vya usalama viliona visitangaze kifo chake kabla ya familia yake kupelekewa taarifa hiyo ya huzuni.
Sehemu ya pili ni pale kiongozi anapoumwa sana kiasi ya familia kukata tamaa au kuwa na mashaka ya matibabu yake.
Je, wanaweza kumzuia mtu wao asiende kwenye matibabu?